kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,696
Karibu sana
Asante sana mkuu
Karibu sana
Marahabaaa shemela wanguShikamoo shemela wangu
Nimekupata shemela wanguYaan na nilivyo sijui kuelekeza ujitahidi tu unielewe shemela binamu obe akiweka anaweka music moja kwa moja bila link ya youtube kama ulivyoweka wewe shemela wangu naomba ukiweka uweke kama vile binamu anavyofanya
Mie c mkewe jamaani au hujui tu mwili mmojaNataka aitikie niliyemwamkia jaman mke mwee mbona hivi fujo
Yaan na nilivyo sijui kuelekeza ujitahidi tu unielewe shemela binamu obe akiweka anaweka music moja kwa moja bila link ya youtube kama ulivyoweka wewe shemela wangu naomba ukiweka uweke kama vile binamu anavyofanya

Ndo ivoMimi huwa nawashangaa watu wanaofuata barabara
Na huyu jamaa yeye halipi fidia. Yeye ni kubomoa tu
Jpili imekaajee
Niaje mdau ...ratiba zimechange kinoma ila soon tutakuwa kama mwanzo ....![]()
Nipo Gulioni
Nimekatembelea katimu kalikofungwa mkono na Thimbwa
![]()
![]()
![]()
....
Wala usiwaze mdauNiaje mdau ...ratiba zimechange kinoma ila soon tutakuwa kama mwanzo ....
Kwanza ongera naona mnagawa doziiii mm apa nasubiria droo tu
Kwa hiyo na nyinyi tulivowapiga mkono mlikuwa kama waoo
Niko poaaaaImekaa pouwa ..
Naaje
T wa S
Hey, are you OK?Wala usiwaze mdau
Pole na majukumu
Hiki ni kijiwe tu cha kupeana mawili matatu hivyo kama unabanwa na majukumu piga tu kazi maana ndio kila kitu
...........
Poleni Kwa kupitwa na Uzi wa likesWoyoyoooooooooooo
Hahaha
Yaani wewe
Hapo sawa
Hahahaaaaaaaa....
Kina shunie muachie lee
Nipo poa tuHey, are you OK?
Nimekumis mpendwa wa binamuHey, are you OK?
Nilikuwa mishe nasaka bandoNipo poa tu
Week end mishe
Siku mbili tatu hupatikani
.....
