Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaan na nilivyo sijui kuelekeza ujitahidi tu unielewe shemela binamu obe akiweka anaweka music moja kwa moja bila link ya youtube kama ulivyoweka wewe shemela wangu naomba ukiweka uweke kama vile binamu anavyofanya
[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Jpili imekaajee
618246de254e484d99dc83377ae0e52e.jpg

NipoMakao Makuu ya Gulioni Fc hapa Zenji
Nimekatembelea katimu kalikofungwa mkono na Thimbwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
 
618246de254e484d99dc83377ae0e52e.jpg

Nipo Gulioni
Nimekatembelea katimu kalikofungwa mkono na Thimbwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
Niaje mdau ...ratiba zimechange kinoma ila soon tutakuwa kama mwanzo ....

Kwanza ongera naona mnagawa doziiii mm apa nasubiria droo tu

Kwa hiyo na nyinyi tulivowapiga mkono mlikuwa kama waoo
 
Niaje mdau ...ratiba zimechange kinoma ila soon tutakuwa kama mwanzo ....

Kwanza ongera naona mnagawa doziiii mm apa nasubiria droo tu

Kwa hiyo na nyinyi tulivowapiga mkono mlikuwa kama waoo
Wala usiwaze mdau
Pole na majukumu
Hiki ni kijiwe tu cha kupeana mawili matatu hivyo kama unabanwa na majukumu piga tu kazi maana ndio kila kitu
...........
 
Back
Top Bottom