Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Woyooo...Jaman niwekeeni shemela niione
Woyooo...Jaman niwekeeni shemela niione
Sio utapunguza dada uache jaman ukiona nipo serious ujueBasi nitapunguza
Hivi Obe na mpendwa wake wako wapi
Nawaza tu apa sura yangu nitaificha wapi msinifanyie hivyo ujue mtasababisha nileft jf na kapukuYamekuwa hayo teenaa
We Are UnitedWanamwita nani vileeeee huyo cheusi mangala![]()
Niliiona aiseeHivi uliona eeehh
Muombe Dada yako aiwekeJaman niwekeeni shemela niione
Shemela jaman kazi gani tena usinifanyie hivyo ujueHii simu leo inakazi
AmeeeenHallelujah![]()
EwaaaaaaaNi ushauri wa daktari
Ebu niwekee apa nione dadaHivi uliona eeehh
Ni yeye shemelaKakataa kujibu
Wapo busy na project zao shemela si unajua maisha yanavyobana kitaaHivi Obe na mpendwa wake wako wapi
SawaSio utapunguza dada uache jaman ukiona nipo serious ujue