Yes.
Yani watu wana majibu ya shombo kinoma hata kama ukipost point watu watakutupia dharau kinoma utasikia tu *BRN*....ila mmoja wao akipost hata nukta* utakuta likes kibao.
But kikubwa ni kujiamini na kufanya mambo yako, wengi wao hawana hoja kabisa ila dharau ndiyo zimezidi.