Makapuku Forum

Yaani dah hata ukipost cha maana utakosolowa kishenzi
Yes.
Yani watu wana majibu ya shombo kinoma hata kama ukipost point watu watakutupia dharau kinoma utasikia tu *BRN*....ila mmoja wao akipost hata nukta* utakuta likes kibao.

But kikubwa ni kujiamini na kufanya mambo yako, wengi wao hawana hoja kabisa ila dharau ndiyo zimezidi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…