Makapuku Forum

I think wana- sayansi hawapendi uzee

Joked


post using my macbook air using jamiiforums app
 
5/Triple H
Alizaliwa Julai 27 mwaka 1969
Namwongelea Triple H na sio yule Triple 6 wa Jf ambaye ni maarufu kwa kutukana
Huyu ni bingwa mara kadhaa wa mieleka na pia ni mcheza filamu mahiri
Triple H maana yake ni Hunter Heart Hensley sasa kama ulijua ni tofauti sawa na zile KKK mimi sijui
Anatajwa kuwa miongoni mwa masupastaa wa WWE wa muda wote Ana utajiri wa USD 30 Milioni
....................................
Zitaendelea baadaye
 

Je wajua mwili hauna sehemu ya kuhifadhia maji wala haujawahi kuhifadhi maji?
Ndio maana tunashauriwa kunywa maji safi na salama kila siku kama lita 3 ukiweza japo 5 ndio hushauriwa

Mwili unahitaji nguvu iletwayo na maji
Maji kwa mwili ni sawa na hela kwa binadamu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…