Muwe na usiku mwema jamanii....
T wangu nakupenda, Mungu akutunze tuu jamanii... Shunie mdogo wangu, bila wewe ni sawa na kasha bila njiti... Tumoo na Madam S Nawapenda bure.... Babu yao naomba uniagie Bitoz, shululu, Lee na Obe....
Nawapenda jamanii