Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muwe na usiku mwema jamanii....

T wangu nakupenda, Mungu akutunze tuu jamanii... Shunie mdogo wangu, bila wewe ni sawa na kasha bila njiti... Tumoo na Madam S Nawapenda bure.... Babu yao naomba uniagie Bitoz, shululu, Lee na Obe....

Nawapenda jamanii
Nakupenda tu dada jaman Mungu azidi kuniwekea sakayo wangu mimi ulale unono damu ya Yesu ikulinde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom