Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muwe na usiku mwema jamanii....

T wangu nakupenda, Mungu akutunze tuu jamanii... Shunie mdogo wangu, bila wewe ni sawa na kasha bila njiti... Tumoo na Madam S Nawapenda bure.... Babu yao naomba uniagie Bitoz, shululu, Lee na Obe....

Nawapenda jamanii
Nakupenda tu dada jaman Mungu azidi kuniwekea sakayo wangu mimi [emoji8] ulale unono damu ya Yesu ikulinde
 
Vitu adimu nini usambaani unakwepa shikamoo zangu ndio uone sasa mwambie mke usivyozipenda we shikamoo na baba d hataki ata kuzisikia
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Mbona nimeitikia shemela
 
Back
Top Bottom