Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
Mi siko hivyo kabisaSasa bailly wa nini.. we nipe tu wacha roho ya ukwasi, kwani ukinipa unapungukiwa nini!!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Madame S
Mi siko hivyo kabisaSasa bailly wa nini.. we nipe tu wacha roho ya ukwasi, kwani ukinipa unapungukiwa nini!!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Huyo ndio hayuni wangu u alizaje wa nnSasa bailly wa nini.. we nipe tu wacha roho ya ukwasi, kwani ukinipa unapungukiwa nini!!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Sijakwambia kuwa we ni mali ya umma,la hasha ila unachofanya ni uungwana tu, unanistiri mie jirani yako na barid la usiku huu mpendwa.. kama vile mtu anavyokuja kwako ana kiu ya maji, kwani ukimpa maji unakuwa wee dawasco, azam au maji ya umma, c ubinadamu tuu mpendwa.. ckme on bhaana.Mimi sio mali ya ummampnzi wangu anasoma maneno yako hapa
Madame S
I mean bongo bahat mbaya..Imefanyaje
Madame S
Nini wee hujui.. mbona wajifanya wa miaka 12 kumbe we kikongwe, ......... zote zakujua..Nnsasa
Madame S
Nzur sanakwa nn mkuu?
Madame S
Potelea pote na maelezo yako marefu kama essaySijakwambia kuwa we ni mali ya umma,la hasha ila unachofanya ni uungwana tu, unanistiri mie jirani yako na barid la usiku huu mpendwa.. kama vile mtu anavyokuja kwako ana kiu ya maji, kwani ukimpa maji unakuwa wee dawasco, azam au maji ya umma, c ubinadamu tuu mpendwa.. ckme on bhaana.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Toto kama hilo haliwez kuwa langu na nikizaa km hiloo lazma nipime dna.. maana sitoi mbegu mbovu..Bob has diabetes
Madame S
Sweet menthol.. ni sigara piaSmndio nn
Madame S
Wee lala tu, sie bado tuna mwani..Laleni
Madame S
Halaf wee mtoto wa kike unaringa mwenyewe unajikuta eehh.. hata bi kidude alikuwa binti kama wewe mzur na mrembo kushinda wewe lakin kafa hana hata jino moja...   Potelea pote na maelezo yako marefu kama essay
Madame S
Mie sio kikongwe ntake radhiNini wee hujui.. mbona wajifanya wa miaka 12 kumbe we kikongwe, ......... zote zakujua..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Asante mkuu,enjoyNzur sana
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Toto kama hilo haliwez kuwa langu na nikizaa km hiloo lazma nipime dna.. maana sitoi mbegu mbovu..![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.







jiproudishe tu