Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi sio mali ya umma mpnzi wangu anasoma maneno yako hapa

Madame S
Sijakwambia kuwa we ni mali ya umma,la hasha ila unachofanya ni uungwana tu, unanistiri mie jirani yako na barid la usiku huu mpendwa.. kama vile mtu anavyokuja kwako ana kiu ya maji, kwani ukimpa maji unakuwa wee dawasco, azam au maji ya umma, c ubinadamu tuu mpendwa.. ckme on bhaana.

Tycoon MAKAVELI Jr.
 
Sijakwambia kuwa we ni mali ya umma,la hasha ila unachofanya ni uungwana tu, unanistiri mie jirani yako na barid la usiku huu mpendwa.. kama vile mtu anavyokuja kwako ana kiu ya maji, kwani ukimpa maji unakuwa wee dawasco, azam au maji ya umma, c ubinadamu tuu mpendwa.. ckme on bhaana.

Tycoon MAKAVELI Jr.
Potelea pote na maelezo yako marefu kama essay

Madame S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom