Makapuku Forum

JIJUZE

Katika kisiwa cha De Queimada Grande kilichopo nchini Brazil, ndipo anakopatikana nyoka pekee mwenye sumu kali zaidi duniani, Golden Lancehead Viper. Wataalamu wanasema sumu ya nyoka huyo ina nguvu karibu mara tano ya wengine wanaoishi ardhini. Nyoka hawa hupata chakula chao kwa kuwala ndege wanaokwenda kisiwani hapo kufanya mapumziko. Serikali ya Brazili imepiga marufuku watu kutembelea kisiwa hicho, isipokuwa kwa kibali maalum.

East Africa Television.
 
==BILLIONEA NAMBA MOJA DUNIANI Bill Gates AKIWA TANGA HAPO KATUA KIMYA KAFANYA YAKE

===YUPO KAWAIDA SANA,CHEKI MAVAZI HAYO SIMPLE KABISA.ANGEKUWA MBONGO HAPO MABAUNSA KAMA WATANO,MACHENI YA DHAHABU,MIKWARA YA UNAJUA UNAONGEA NA NANI?




CC MADENGE
 
Updates. ....

JOTO KALI IRAQ: Waziri mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi leo, atoa likizo kwa wafanyakazi wa serikali, kufuatia joto kali lililofikia Sentigredi 50.

Mbali na Iraq, juma lililopita joto hilo limeshuhudiwa pia kwenye bara la Ulaya ambalo limesababisha watu kadhaa kupoteza maisha...
 
USHIRIKIANO: Rais Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na tajiri namba moja duniani, Bill Gates alipomtembelea Ikulu, jijini Dar Es Salaam.

Bill Gates yuko nchini katika ziara ya kukagua miradi ambayo taasisi yake ya Bill and Melinda inasaidia ukiwemo wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele....

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…