Makapuku Forum

[emoji3] [emoji3] [emoji3] jamaani I miss you too shemela pole na safari hope umetuletea zawadi
 
Ila mimi sio mmoja wao maana hizo ni tabia za kike kama kuna dume liko hivyo basi tunawaita wanaume kama mabinti au wanaume kama wanawake
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mdau maisha yamebadilika
Siku hizi wanaume wamewapiku wanawake kwa umbea
Binafsi rafiki zangu wengi sana nimegombana nao sababu ya umbea wao
Wakati nasoma nakumbuka kuna siku timbwili kubwa liliibuka class chanzo akiwa ni kidume aliyeutoa umbea hostel akapeleka class unaambiwa zilipigwa siku hiyo balaa
Siku hizi nimepunguza hata idadi ya marafiki yaani wanaume wa sasa walaini hawana hata vifua Hata hii picha kwanini hawakuchorwa wanawake kwa wanawake au anayevujisha siri kwanini asiwe mwanamke?
Ndo wanaume wa sasa hao wanagombanisha hadi wanawake !!

Kilichobaki kututofautosha na wanawake ni kutovaa sketi tu

Niwatakie Usiku Mwema
.......
 
Hatucheki nawewe sababu ya uongo na umbea ♬♪♪

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…