Makapuku Forum

Utakuwa ulifungiwa ...sasa hivi kuna ukumbi wa disco unaitwa Las Vegas iliyopo Opp na Uhazili na mwimngine unaitwa shimoni...ila kutafuta ghorofa Tabora ni sawa na kutafuta nyota angani mchana!
Ni kweli, but ulikuwa na totoz vichaa hadi unajiuliza vyatokea sayari gani!!! Warundi+vinyarwanda hapo vilikuwepo sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…