Katika dondoo za bbc. ..
- Mkurugenzi wa mawasiliano katika ikulu ya Marekani atimuliwa siku kumi tu baada ya kuanza kazi.
- Uchunguzi umeanzishwa kubaini kifo cha afisa wa tume ya uchaguzi Kenya.
- Burundi inasema utaratibu haikuzingatiwa iliponyimwa fursa kuandaa mkutano wa COMESA.
- Na je unawafahamu wagombea watatu wa urais katika uchaguzi unaowadia Rwanda?