Makapuku Forum

Ha ha ha ha ha ha ha ha.... Hapa kwetu kuna jamaa aliandika gari yake 'babu kessy' na akawa kweli anaitwa babu kessy lakini umri wake ulikuwa haufiki miaka arobaini.... Sasa mimi nimefika na kupita si ni kibabu tu mimi Shunie.?
Kweli we ni babu na kama ile avatar unayoiweka umevaa miwani ndio wewe acha niendelee kukuita babu tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…