Makapuku Forum

5/Peace Hyde Amezaliwa Agosti 9 1985 huko kwa vinara wa uchawi barani Afrika
Huyu ni binti wa Kighana
Ni mwongoza vipindi vya luninga na matamasha katika nchi za Ghana na Uingereza
Ni binti kichwa aliyepata Shahada ya kwanza bila kusapua(supplementary) !!! Ana Degree in Psychology(Hons) kutoka Middlesex University huko kwa Malkia
Ametajwa karibu kwenye kila jarida linalozungumzia wanawake wenyewe mvuto barani Afrika

............
 
Nyonyoooo
 
Nyonyo linaendana na shape yake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…