Nikufweeee tu kwa ajili yakoooooKwa ajili ya Baba D wangu imfikie popote alipo
Tutakufwa wote Baba D ujueNikufweeee tu kwa ajili yakooooo
Kwahiyo binamu ulimaanisha niingizwe ninii
Nakuwaje mshabiki mie binamu na vigezo vyote ninavyoheh! wewe si mchezaji unataka kusajiriwa kwenye timu? Au ulitaka kuwa mshabiki?
Shem heshima yakoNikufweeee tu kwa ajili yakooooo
Nakuona nakuona na dedicationCuzoo nipo hapa
Nyagei anapatikana wapi?heh! wewe si mchezaji unataka kusajiriwa kwenye timu? Au ulitaka kuwa mshabiki?
Khaaa cuzoo umeanza aisee acha nimdedicatie bae mtu anaenipa furaha jamaanNakuona nakuona na dedication
Hivi mbona mnapishana jamaan alikuwepo ujue shem nyagei na we ulikua wapi cuzoo jamanNyagei anapatikana wapi?
Ruksa cuzooKhaaa cuzoo umeanza aisee acha nimdedicatie bae mtu anaenipa furaha jamaan
Hivi mbona mnapishana jamaan alikuwepo ujue shem nyagei na we ulikua wapi cuzoo jaman
Kwani ndio unalala sasa hivi jaman mida yake ndio hii
Mwambie namtakia usiku mwema.
Ndo nalala cuzoo.Kwani ndio unalala sasa hivi jaman mida yake ndio hii
Sawa cuzoo sweet dreamsNdo nalala cuzoo.
Mwambie atanikuta nyumbani
Nakuwaje mshabiki mie binamu na vigezo vyote ninavyo
Nakuona nakuona na dedication
If tomorrow is judgement dayChaguo la Wapendanao: My Love Is Your Love
Nimerudi tena, uzuri wa KF ni kuwa na segment kadha wa kadha na zote zikiwa na leo moja tu, kukufanya ufikiri, uelewe na uburudike na si zaidi ya hapa.
Chaguo la leo ni la Shunie na linaenda kwa mtu wake wa nguvu lee empire
FYI: WH ana tuzo kibao na anatajwa kuwa ni mwanamuziki wa kike maarufu wa muda wote akiwa na tuzo kibao zinazofikia 415 zikijumlisha Emmy, Grammy (6), Billboard MA (30) na nyingine kibao. Furahia na wapendanao