Makapuku Forum

Muziki wa Kipekee

Unataka niseme nini kila nikisoma au hata kujihisi tu kuwa ninasoma chochote anachoandika husna muba , nampenda hata kama kuniwekea dhamana ni ngumu, analijua hili. Ni smart, anavutia, mchangamfu (hivi kwanini isiwe mchangahai!!!) na ni mtulivu. Anajijua anapoongea na mimi ninakuwa kama niko paradiso na ukimywa wake unanifanya nijihisi vibaya.
Leo kachagua wimbo nami naufanya wimbo wa kipekee.
Hivi unalikumbuka gitaa la Pauline Zongo, utalisikia humu kwa mbali


Asante Husna kwa post ya Che G
 
Ameeeeeeiiiiiiniiiii
 
Amin
 
Good asante my love


Vyenye unajua vile nakupendaga






 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…