Ubajipima==Unajipima..Afadhali umebadilisha avatar
Uwe ubajipima kabla ya kuweka
Zingine zitakutibulia si unajua Jf kumejaa vichaa
....
Endelea hadi uchokeUbajipima==Unajipima..
Leo ni mwendo wa kukukosoa tu..
Kweli maana na nilivyokalia mnazi pensi limebana miguu inaonekana kama misukumio ya chapati.
Naww utoe hiyo unaonekana unakutambi kama la le mutux
Fasta kabadilisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa maji
Endelea hadi uchoke
Haya nitabadilisha
....
Fasta kabadilisha
Tulilenga penyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....
Na nembo ya Huawei jeAvatar nzuri nimependa rangi tu mimi
Hiyo ni Nembo ya TimberlandNa nembo ya Huawei je
Pesa nyingi sana hiyo hawez goma huyo m BraziliDaaaaah kweliii hili dili likitiki tutaamini kuna watu wanacheza na faranga....
Mshambuliaji wa Barcelona Neymar, 25, amekubali dau la Paris Saint-Germain, baada ya klabu hiyo ya Ufaransa kuwa tayari kutoa pauni milioni 195. (Esporte)
Hujakosea Red n Bora siku zoteNini sasa jamaan au nimekosea kuisifia me napenda red jamaan huku man u huku mnyama
Mc Bora kabisa6/Marshall Bruce Matters IIIAnajulikana pia kama Eminem au Slim Shady.... ana umri wa miaka 41
Anasifika kwa tabia yake ya ukorofi hata kwenye video za nyimbo zake
Inakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 190 Milioni
.......
Mbeya moja[emoji85]Sijaona alipouliza lakini[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hahahahaha
Unazingua sasa namna hiiMbeya moja[emoji85]
Sent from my TV
[emoji12] nikirudi break ya kwanza kwa mama fUnazingua sasa namna hii
Mnyamwezi huyo!8/Kanye Omari WestAbapendelea kujiita Yeezus
Ana umri wa miaka 36
Ndiye kidume wa Kim Kardashian na baba mzazi wa North West na pia wana mwingine na haitarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya ya Kim
Anaingiza pesa kutokana na mikataba aloyosaini na makampuni makubwa kama bile Nike,Adidas na Louis Built on
Pia anajishughulisha na biashara kibaoAna mkawanja unaokadiriwa kuwa USD 110 milioni
..........
Huyu tetesi zinasema anafilisika4/Curtis James Jackson IIINani asiyemfahamu huyu Mswahili? Anajiita 50 Cent ila ana miliki dola badala ya vijisenti vya Change anavyotusumbilia wabongo
Ana umri wa miaka 38
Utotoni alikulia katika umaskini uliotopea ikiwemo kulelewa na bibi yake.
Anewahi kutandikwa risasi lakini akapona.Ana dili kibao za kuvutia mpunga
Ana utajiri wa USD 240 Milioni
......
Watoto wameshazaliwa aiseee3/Shawn Corey CarterAna umri wa miaka 44
Aanajulikana zaidi kama Jay Z
Ndiye mume wa Beyonce Knowles na baba mzazi wa Blue Ivy ila pia wanatarajia kupata watoto mapacha muda wowote
Ana dili kibao anazopiga pamoja na mkewe :
Inakadiriwa kuwa na utajiri wa USD 500 Milioni
..........