Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uliishi mitaa gani?
Mm nilikua nikiwaona nakimbia kama Hamorapa, Weka picha yako mwenyewe..
Oh! Kumbe ulikuwa karibu sana na hayo maeneo ya kimwili zaidi mida ya usiku. Nilikaa mitaa kama minne toka hapo, kwa hiyo ni mwendo wa kuchukua boda boda tu najisogeza. Picha nikiwa maeneo hayo sina labda nikupe namba ya dereva wa bodaboda (FYI bodaboda ni baiskeli kwa shy)
 
Back
Top Bottom