Makapuku Forum

KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....

MATHAYO 12

37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.


MITHALI 6

2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.


NAWATAKIA MCHANA MWEMA MBARIKIWE
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…