Mdau nimeeleza mwanzo kwamba "ushamba" unaotusumbua ni ule kutoizungukazunguka dunia na kujichanganya mfano tuna mchezaji mmoja tu Ulaya(najua kuna wabongo kibao tu ni watu wa safari za majuu) ila wabongo tupo nyuma sana
Vinginevyo kwa "passion" upo sahihi
Ni hivyo tu
.......