Makapuku Forum

TOP TEN
Una wapenzi wengi ?
Mimi sijui na sihitaji kujua ila nasikia kwa vijana ndo ujanja
Zamani mtu akiwa na UKIMWI ilikuwa sio siri maana angeharisha,angekohoa kutwa nzima,angetoka mapele,angekuwa na ukurutu,angekpnda
Ila nowadays kuna dawa za kupunguza makali {ARV) kumjua mwenye ngoma au asiye nao ni ngumu.....watu wanaungwa kwenye grid ya Taifa bila kujijua

Sasa tuangalie nchi kumi zenye watu wengi wanaoishi na VVU

NB.
Kigezo siyo % bali idadi hivyo kinara wa VVU duniani kwa % ni Swaziland ila hayupo sababu nchi yao ni ndogo kwa idadi ya watu
Karibuni
.......
 
Poa Poa
 
Karibuuu
 
10/Russia
Ni Taifa kubwa duniani kiuchumi,kijeshi n.k
Ni nchi yenye idadi kubwa ya watu takribani Milioni 145...Ni miongoni Nchi kumi zenye watu wengi duniani na wanaongezeka tu
Nani kasema UKIMWI ni wa watu weusi tu ? Hata Wazungu wanao
Warusi takribani 950,000 wana ngoma
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…