Makapuku Forum

6/Deepak Pastwan
Huyu ni dogo kutoka familia maskini huko nchini India
Alizaliwa mwaka 2010 akiwa na miguu ya ziada "iliyoota" kifuani
Dogo alizaliwa akiwa na miguu 8 yaani dogo kifuani ana miguu kama matawi ya miti
Wazazi wake hawakuifurahia hali hiyo hivyo kuomba iondolewe
Hospitali ikawaonea huruma kutokana na umaskini uliowakithiri hivyo kumfanyia upasuaji bure na ukafanikiwa kuiondoa
........
 
5/Kangkang
Huyu dogo alizaliwa uso wake ukiwa na sura mbili ukisema ana uso pea mbili pia hujakosea
Ukimwangalia vibaya unaweza kufikiri amevaa kinyago mask ila ndiyo alivyoumbwa
Na sasa keshavuka mwaka mmoja na anadunda tu
........
 
4/Mioyo miwili Mwaka 2010 nchini Marekani njemba moja ilipata shambulio la moyo mara mbili hivyo kulazimika kuita Ambulance
Alipofikishwa hospitali madaktari wakashangaa aliwezaje kuhimili mashambulizi hayo ikawabidi wamfanyie uchunguzi
Wakamkuta ana moyo wa ziada...... Ila wakagundua alizaliwa na moyo mmoja ila akiwa mdogo alifanyiwa heterotopic transplant yaani kuwekewa viungo vya maiti ambavyo ni vizima na vinakua na kufanya kazi kwenye mwili mwingine
.......
 
3/Doubledick Dude
Jamaa alizaliwa na uume miwili na kuamua kujiita Doubledick Dude na kupata umaarufu mkubwa na furushi la followers kwenye mitandao ya kijamii
Sio tu kwamba anazo mbili bali pia zote zinapiga mzigo wa maana hivyo anaweza kuzitumia zote kwa pamoja....... demu ukizubaa shauri yako anatumbukiza mbili !!!
Kila mzigo wake ukichachamaa unafika inchi 7
Hali hii inajulikana kama Diphallia na dunia nzima kuna case takribani 100
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…