Habari ndio hiyo
Umenena vyema huu uzi kila wanaojaribu wanashindwa make kwanza utasikia wanataka wafanya kama makapuku ....wale chizi wa likes wenyewe wanashindana reply nadhani lakini kwa elimu kapuku mwanzo mwisho
Nimegundua kitu humu jf, wengi tunatumia tecnoImetokea kwa wote automatically sasa wapo wasiofahamu jinsi ya kuyaondoa hayo matakataka
....
Leo umefungua kitu kutoka kariakoo nini ??
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Pole mnoo..
Mungu akulinde jamani
MuzuriiiiiiHusna Muba,Nyagei sakayo,Bitoz,Transcend na wengine wote humu ukapukuni habari ya weekend?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Ameweka mchana, kama umeskip imekula kwakombona mi sijaiona?!
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Labda ww na HusnaWale wa Tecno tunyooshe vidole..
Una quote post za jana
Sent from my E5653 using JamiiForums mobile app
Pole kijanaMungu tu ndo anajua hatma yangu maana hTa nikipumua kwa sana tumbo linauma..
Vidonda vya tumbo hivyoUnaharishaa?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Salama,mm ni wengine wote(in mama Mchuchu's voice)Husna Muba,Nyagei sakayo,Bitoz,Transcend na wengine wote humu ukapukuni habari ya weekend?
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Pole sana ...muhimu usiwaze sana hata kama unaumia just relax jione uko poa make ukizidi kuwaza ndo ata uchocheajii wa uzwalishwaji wa HCl acid tumboni unazidiii jambo ambalo litazidisha tatizo ...kama kuna dawa umezitumia relax...alafu kula vitu ambavyo combustion yake mwilini havizalishi ata chembe ya acid ....ila ukibugia machips yenu plus maayonizee utaadithiaMaombezi yenu jamani naona huu usiku niwKa kwangu kwa maatwso ninayoyapata..
HahahaNimegundua kitu humu jf, wengi tunatumia tecno
Sent from my E5653 using JamiiForums mobile app
Pole sanaKama mm hapa
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Pole Mond Mungu akitie nguvu,Maombezi yenu jamani naona huu usiku niwKa kwangu kwa maatwso ninayoyapata..
JamaniiiiMungu tu ndo anajua hatma yangu maana hTa nikipumua kwa sana tumbo linauma..
Labda alikuja na hirizi
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app