Makapuku Forum

Ukizaliwa kiziwi mdomo utakuwa mzito maana mtu hujifunza kuongea kwa kuwasikiliza wengine
Wenye ma tatizo wengi ya kutokusikia hawajui kuongea kabisa
Ila kwa wale wanaoyapata ukubwani wakati tayari washajua kuongea huwa sio tatizo sana changamoto huwa kujifunza lugha za kigeni tu (English,Kifaransa n.k)
Dunia nzima ukizowi ni changamoto ......wengi huupata kutokana na matumizi ma baya ya dawa ,maambukizi kwenye sikio,ajali viwanda ni n.k
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…