Kifo kinauma jamani... Mungu awatie nguvu wafiwa maana nahisi bado alikuwa kijana mdogoPia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahau
Japo waanzilishi wakuu ni Bailly,Jimena na mimi.....maana hata kabla ya wao kuja chemba sisi wa3 tulikuwa tayari ni marafiki wa JF
Duh ukiziangalia post zake kule mwanzoni utaelewa
.......
Noah nyeusi auhaha! mdau mimi nipo hapahapa kwa magu nasubiri noah yangu, mars hakuna noah kule
Habari za dar shemMimi pia nakumiss shemeji
Tusubiri taarifa kamiliNdio huyo huyoo ila inaweza kuwa uzushi banaa ci unajua mitandao hii
Hapana Shemeji. Umechanganya. Mimi nilikuwa namwongelea Arthur Ashe - mcheza tennis mweusi wa Marekani. Nilikuwa najibu comment ya Mama Mchungaji. Ibra hata hapa JF nilikuwa simfahamu! Pole sana kw msiba huo kwani naona umekugusa sana!Naona unamuenzi kwa hadithi
Hiyo ulioleza hapo ni hadithi niliisoma nikiwa primary huyo kaka aliitwa "martin na mchumbaake aliitwa "beatrce lugakingila" ndoa yao ilifungwa angani..
Daa hii pumu hii daa aiseeAisee
Apumzike kwa amani
Za Dar nzuri shemeji, ila foleni za magari ni shidaHabari za dar shem
Kumbe haina tiba eehDaa hii pumu hii daa aisee
Bahati mbaya sikuwahi kukutana nae japo sura yake inajulikanaKifo kinauma jamani... Mungu awatie nguvu wafiwa maana nahisi bado alikuwa kijana mdogo
AiseeBahati mbaya sikuwahi kukutana nae japo sura yake inajulikana
Kuna umuhimu watu tunaoaminiana kufahamiana
Tusisubirii mtu spate janga tuanze kumsifia au pengine kuaga tu mwili wake
.........
Mfano nasikia jamaa alikua anakaa Kisiwani (nafikiri ni Tabata au Kigamboni) halafu angalia sasa hapo Tabata na Mabibo ninapoishi kwa miguu ni dk 15 tu ndo nasikia msiba ulipo na watasafirisha kupelekea TangaAisee
Mie T atawaletea mrejesho... Na Shunie...
Mie ndo maana Sijiiiii darZa Dar nzuri shemeji, ila foleni za magari ni shida
Naskia zipo za kienyeji etiKumbe haina tiba eeh
DaaaahMfano nasikia jamaa alikua anakaa Kisiwani (nafikiri ni Tabata au Kigamboni) halafu angalia sasa hapo Tabata na Mabibo ninapoishi kwa miguu ni dk 15 tu ndo nasikia msiba ulipo na watasafirisha kupelekea Tanga
....
Nafikiri hujapata habari ya msiba wa Ibra87 mdau*GHAFLA TU SERIKALI INAPIGA MARUFUKU MAWIGI NA MEKAUP, HAKI YA MUNGU WATOTO WATASAHAU MAMA ZAO.......
nawaza tu jamani @
Da kweli mkuuBahati mbaya sikuwahi kukutana nae japo sura yake inajulikana
Kuna umuhimu watu tunaoaminiana kufahamiana
Tusisubirii mtu spate janga tuanze kumsifia au pengine kuaga tu mwili wake
.........
Huyu katibu mipango ndio kafa?Katibu mipango wa Makapuku nipo hapa.. Hakuna kujipendekeza kwa mtu tunaamini tuna ubora kuliko wao... Hapa ni muda wa makapuku kusimama na kung'aa... No shobo no Ufagio
Hata mwananyamala kuna kisiwani piaMfano nasikia jamaa alikua anakaa Kisiwani (nafikiri ni Tabata au Kigamboni) halafu angalia sasa hapo Tabata na Mabibo ninapoishi kwa miguu ni dk 15 tu ndo nasikia msiba ulipo na watasafirisha kupelekea Tanga
....