Makapuku Forum

Kifo kinauma jamani... Mungu awatie nguvu wafiwa maana nahisi bado alikuwa kijana mdogo
 
Naona unamuenzi kwa hadithi


Hiyo ulioleza hapo ni hadithi niliisoma nikiwa primary huyo kaka aliitwa "martin na mchumbaake aliitwa "beatrce lugakingila" ndoa yao ilifungwa angani..
Hapana Shemeji. Umechanganya. Mimi nilikuwa namwongelea Arthur Ashe - mcheza tennis mweusi wa Marekani. Nilikuwa najibu comment ya Mama Mchungaji. Ibra hata hapa JF nilikuwa simfahamu! Pole sana kw msiba huo kwani naona umekugusa sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…