Makapuku Forum

Aisee, watoto ndivyo walivyo
 
Amen
 
FAIDA 8 ZA KITUNGUU MAJI KAMA DAWA.

NA DR. SEIF EL BAALAWY KUTOKA ALJALILA HERBS.

Usijali machozi yanayoletwa na
vitunguu maji ni kama karata dume katika kupigana na
magonjwa. Ni mmea mahiri katika
familia ya lily, vinakupa faida
nyingi kiafya pia yaongeza ladha
nzuri katika chakula chako.

Tuangalia haraka haraka faida
zitokanazo na kula vitunguu maji.

1. Vitunguu maji vina kemikali ambazo
zinasaidia kazi ya Vitamini C katika mwili wako, hivyo kukuongezea kinga ya mwili.

2. Vitunguu maji vinakemikali aina ya
chromium ambayo inasaidia
kudhibiti sukari katika damu.

3. Kwa karne nyingi, vitunguu maji
vimekuwa vikitumika kupunguza uvimbe na kuponya maambukizi.

4. Unafurahia vitunguu maji vilivyokatwa kwenye chakula?
Kama ndio basi furahi! Vitunguu vibichi vinasaidia kutegeneza cholesterol nzuri (HDL) hivyo kuufanya moyo wako kuwa na afya njema.

5. Kemikali yenye nguvu iitwa
quercetin katika vitunguu maji
inatambulika kwa kusaidia kwa
kiasi kikubwa kuzuia saratani
(cancer).

6. Umeumwa na nyuki? Weka
juice ya kitunguu maji eneo ambalo
umeumwa upate nafuu ya maumivu na uvimbe kutowasha.

7. Vitunguu maji vinasaidia kuzuia
vidonda vya tumbo.

8. Sehemu ya kijani (kitunguu maji
kutoka shambani) imejaa
Vitamini A kwahiyo itumie mara kwa mara.
 
Kazi nzuri
 
Ameeen
 
Pole sana
Watoto watundu ni balaa
Hata sisi tukiwa wadogo kuna mambo ya kipuuzi tulifanya maana "hatukuwa na akili ya kujua jema na baya"
Wapo waliovunja TV,vyombo n.k
Wengine walichana vyeti muhimu vya wana familia
Wengine waliharibu chakula n.k
Utoto bhana
.....
 
Mmmmh.... pesa inaboost boost mkuu japo nakubaliana na wewe kuwa kuvaa ukapendeza ni kipaji
Ndio pesa unaweza kumuajiri mtu wa kukuvalisha
Ila mtu kama mtu (ww km ww) kujua kupiga pamba ni kipaji au pengine hobby
Hivyo hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uvaaji wa mtu na pesa

Km huamini chunguza wenzako makazini,vyuoni,shule ni,mtaani au pengine wanafamilia
........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…