Umetumiwa wewe! Mimi nimesikiliza tu nilikuwa napita hapa kwenye kichochoro chenu. Muwe mnafunga madirisha basi, japo muweke pazia, yaani chumba chumba mnakiacha wazi kama hotel ya babantilie, pazia mgongo?
Umetumiwa wewe! Mimi nimesikiliza tu nilikuwa napita hapa kwenye kichochoro chenu. Muwe mnafunga madirisha basi, japo muweke pazia, yaani chumba chumba mnakiacha wazi kama hotel ya babantilie, pazia mgongo?