Lol! Niko upande wako na unajua hilo, yaani nimemkasirikia anko hadi na yeye kaamua kunitishia maisha sasa kama vipi tukae kama kamati. Unaonaje tukienda polisi akamatwe tuseme kwamba ametishiwa kutekwa?
Lol! Niko upande wako na unajua hilo, yaani nimemkasirikia anko hadi na yeye kaamua kunitishia maisha sasa kama vipi tukae kama kamati. Unaonaje tukienda polisi akamatwe tuseme kwamba ametishiwa kutekwa?
Lol! Niko upande wako na unajua hilo, yaani nimemkasirikia anko hadi na yeye kaamua kunitishia maisha sasa kama vipi tukae kama kamati. Unaonaje tukienda polisi akamatwe tuseme kwamba ametishiwa kutekwa?