Makapuku Forum

Katika dondoo za bbc. ..baadhi ni ....



Viongozi wa nchi tano za Afrika Magharibi wazindua jeshi la pamoja kupambana na wapiganaji wenye itikadi kali kwenye eneo la Sahel.

Qatar leo inatarajiwa kutoa majibu juu ya madai ya nchi za Kiarabu kuhusu nchi hiyo kuunga mkono ugaidi.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza atangaza kuwa uchaguzi mkuu ujao utaandaliwa kwa kutumia uwezo wa ndani, huku wananchi wakitakiwa kuchangia.
 
Ameni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…