Makapuku Forum

Leo katika historia

1/7/ 1961 Princess Diana anazaliwa.
Alikuwa mke wa mtoto wa malkia wa nchini Uingereza azaliwa.
Princess Diana alifariki mwaka 1997 katika ajali ya gari ambayo imebakia kuwa tata hadi leo
 
Kufikia hapo basi leo katika historia haina la ziada. Asante kwa Ibracadabra kwa kusababisha hii siku ya leo..
Asanteni sana wote kwa kuwa kuwa pamoja nami asubuhi ya leo. Niite Jimena Jimenes.... Muwe na weekend njema.... Nawapenda wote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…