Makapuku Forum

Ndo maana huyu Mwenyekiti nilimfanyia umafia kwa yule najua anafanya kunikomoaa ...sasa na wewe binamu umempa buku daraa lootee kweliiii

Mm sikurudishii utanisameheee ..jifanye umedondoshaa...

Asubuhi njema binamu ...jana nilikuwa na usingiz wa Gb uncountable
 
Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu....anakupa apendavyo kwa wakati wake...namfahamu dada alifiwa na mumw miaka ya themanini akamwachia mtoto mmoja wa kiume...2012 mtoto akiwa form four akafariki ghafla.....tukamzika....2014 mwishoni dada yule alipata mume mngine...2016...amepata watoto watatu wakike wawili wakiume mmoja ..huyo ni Mungu asiyeshindwa.tumshukuru kwa kila jambo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…