Makapuku Forum

Makapuku Forum

kho kho kho
...ila mimi huyu mwenyekiti huwa ananishangaza, yaani hakosi visingizio. Ningemwambia umesafiri unajua ambacho angekifanya, vipi angeibuka kwa teller? si angechoma nguru mtaa mzima ujue.

Mimi nikaipokea ila nikampoza na buku jero, so jua kabisa unadaiwa, deni likikaa wiki naanza kuweka riba kama vicoba

Ya mziki tena hawa watu wananitakia nini jamaan bhinamu wangu ..

Na mm nilimwambia sawa nimekuletea mziki system ila nkamuomba apige kwenye mono sauti ya chini ona sasa apa yataibuka mengine ....hivi bhinamu umeshindwa kuwambia nimesafiri ??

...haiko kwenye bahasha yaani iko wazi unaona kila kitu. tangu lini summons ikawekwa kwenye bahasha. Unahitajika kwa mwenyekiti ukaelezee ule muziki uliofunga juzi uliutoa wapi! Na yule dj sasa ndo balaa yaani kakeshesha watu bila kupenda.

Acha bhana mbona wamesema wewe ndo utailetaa .....na kama umeipokeaa husiifungueee nakuombaa

Nami nakusalimia tu maana si kwa zile sifa zako nilizosikia. Vipi wameshakutumia barua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom