Mdau na mimi nashusha mavitu mapema maana ratiba yangu itanibana baadaye hivyo hakuna tatizo segment zikiingiliana ilimradi tu zinaeleweka
Hivyo nashusha segment zangu mbili zote maana baadaye haitawezekana
........
Baada ya kufariki ghafla uwanjani mwaka 2003 katika michuano ya ulaya, kiungo huyo wa Cameroon aliyekuwa anakipiga Man City kipindi hiko jezi yake ilistaafishwa kwa heshima yake.
Mdau na mimi nashusha mavitu mapema maana ratiba yangu itanibana baadaye hivyo hakuna tatizo segment zikiingiliana ilimradi tu zinaeleweka
Hivyo nashusha segment zangu mbili zote maana baadaye haitawezekana
........