Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimeamka asubuhi na mapema nikajiandaa tayar kwenda kwa majukumu ya kujenga Taifa...Nikafika ofisin nikawa naongea na binti mmoja mfanyakazi hapo yeye akiwa amekaa mimi nikiwa nimesimama sasa yule binti akawa aniangalii machoni aongei na mimi kama siku zote...Nikaenda kwenye ofisi ingine kuna mchanganyiko wa staff wengi wao wakiwa ni wanawake..Tukawa tunadiscuss jambo fulani lililo nilazimu niende kutoa ufafanuzi kwenye Flip chart...Nikaona minong'ono mingi ya chini chini...Nikamaliza nilichukua nafafanua nikafungua mlango kuelekea ofisini kwangu..Ile nafungua mlango staff mmoja mwanaume tuliozoeana akanifuata akaniambia Mkuu zipi ya suruali iko wazi,ndiyo maana wakina mama kule ndani walishindwa ku-concetrate na ulichokua unaongea....OK NDIYO ASUBUHI YANGU ILIVYOANZA KWA AIBU HIVYO ILA MAADAM WOTE TU WATU WAZIMA HAKUNA SHIDA SANA....ASUBUHI YAKO IMEANZAJE SIKU YA LEO?
 
Nimeamka asubuhi na mapema nikajiandaa tayar kwenda kwa majukumu ya kujenga Taifa...Nikafika ofisin nikawa naongea na binti mmoja mfanyakazi hapo yeye akiwa amekaa mimi nikiwa nimesimama sasa yule binti akawa aniangalii machoni aongei na mimi kama siku zote...Nikaenda kwenye ofisi ingine kuna mchanganyiko wa staff wengi wao wakiwa ni wanawake..Tukawa tunadiscuss jambo fulani lililo nilazimu niende kutoa ufafanuzi kwenye Flip chart...Nikaona minong'ono mingi ya chini chini...Nikamaliza nilichukua nafafanua nikafungua mlango kuelekea ofisini kwangu..Ile nafungua mlango staff mmoja mwanaume tuliozoeana akanifuata akaniambia Mkuu zipi ya suruali iko wazi,ndiyo maana wakina mama kule ndani walishindwa ku-concetrate na ulichokua unaongea....OK NDIYO ASUBUHI YANGU ILIVYOANZA KWA AIBU HIVYO ILA MAADAM WOTE TU WATU WAZIMA HAKUNA SHIDA SANA....ASUBUHI YAKO IMEANZAJE SIKU YA LEO?
Asubuhi yangu japo haijawa mbaya ila kikubwa nimechelewa kufika ofisini.
 
6a448d4f54cc68b5ca9be49adf9bee87.jpg
e35cbc143cce27b986b3111ef6643ea7.jpg
75f3c870a1e7fb9913600e3fdc4ae4b3.jpg
649761892c8a14d60a8fd568d8f9845c.jpg
365c995b8503e8b405b8fabca619b8a0.jpg
70384f8f3b0c955c75680f22b28a0eb2.jpg
505060c1637da0c164ed146e63cebdad.jpg
81a8633e1e3bdaf5de922ea1d1be242c.jpg

Morning kapukuz
..............
Morning too mr prezdaa Bitoz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom