Jana ndio nimeshuhudia madhara ya vyeti feki,Muhimbili hospitali hakuna wauguzi wala wahudumu wa kutosha wodi zimejaa kiasi kwamba hao wahudumu waliopo wamezidiwa.
Chondechonde serikali wagonjwa wanakosa huduma na kupelekea kupoteza maisha,suluhisho la haraka linatakiwa.
Jana ndio nimeshuhudia madhara ya vyeti feki,Muhimbili hospitali hakuna wauguzi wala wahudumu wa kutosha wodi zimejaa kiasi kwamba hao wahudumu waliopo wamezidiwa.
Chondechonde serikali wagonjwa wanakosa huduma na kupelekea kupoteza maisha,suluhisho la haraka linatakiwa.