Ndiyo. Nimeenda kule kutest zali na kuangalia kulivyo. Wana kasi ya ajabu. Makapuku itabidi tuitishe kikao japo nadhani rais wetu ameshalitolea ufafanuzi wa kutosha suala hili. We have to unite even more...Ndo wanaoshindana na kapuku ?? Dunian kuna maajabu
Oya ukoma kufananisha KF na madustbinNdo wanaoshindana na kapuku ?? Dunian kuna maajabu
Duu Kinyume cha Thabiti n huyu5/Junrey Balawing
Ndiye mtu mfupi zaidi duniani aliye hao ila data zangu zinaonesha kuna wababe wengine
Alizaliwa huko Ufilipino mwaka 1993 baada ya miezi michache hakurefuka tena
Ufupi wake umetokana na maradhi mbalimbali ambayo hajawahi kuwekwa hadharani
Ufupi wake unasababisha waonekane dhaifu
Ana urefu wa Am 60 (inchi 24)
......
Duuu4/Jyoti Amge
Kazaliwa Desemba 16 1993
Ndiye Star Of American Horror Syory
Anashikilia rekodi ya dunia ya mwanamke mfupi zaidi duniani
Ana tatizo la Achondroplasia
Ni raia wa India mwenye ndoto ya kushinda Tunzo za filamu za Oscar
Ana urefu wa Am 58.4 sawa na inchi 23
.......
Kipaumbele cha uzi siyo kuwa na post nyingi yaani kupost upuuziupiuzi tu ili sijui uwe na kasi au post nyingi mfano sijui kupost makorokoro km vile ....5%"(8$*"!? #@2'63?#:#)'&%&$$::;;"%-"#:++#_'Ndiyo. Nimeenda kule kutest zali na kuangalia kulivyo. Wana kasi ya ajabu. Makapuku itabidi tuitishe kikao japo nadhani rais wetu ameshalitolea ufafanuzi wa kutosha suala hili. We have to unite even more...
shukriya Bitoz4/Jyoti Amge
Kazaliwa Desemba 16 1993
Ndiye Star Of American Horror Syory
Anashikilia rekodi ya dunia ya mwanamke mfupi zaidi duniani
Ana tatizo la Achondroplasia
Ni raia wa India mwenye ndoto ya kushinda Tunzo za filamu za Oscar
Ana urefu wa Am 58.4 sawa na inchi 23
.......
AnakujaaBinamu usimvishe zigo la totoz please. Mimi sitaamini mpaka mwenyewe akiri.
Kweli nimeona kuna kasiii kweliii na wanafanya kutukomoaa ila soon wanaishiaNdiyo. Nimeenda kule kutest zali na kuangalia kulivyo. Wana kasi ya ajabu. Makapuku itabidi tuitishe kikao japo nadhani rais wetu ameshalitolea ufafanuzi wa kutosha suala hili. We have to unite even more...
Ule hautadumu coz hawana chochote shida yao kubwa ni like tu basiKipaumbele cha uzi siyo kuwa na post nyingi yaani kupost upuuziupiuzi tu ili sijui uwe na kasi au post nyingi
Hatupo kwa ajili ya kushindana na mtu(Uzi) yoyote .....uwepo wa huo uzi hawezi kutuzuia kufanya mambo yetu wala kuharibu urafiki/Umoja wetu
Tufabye mambo yetu hata uzi kwa siku ukiwa na kapage kamoja sawa tu ...ilimradi tuna maisha yetu
.......
Oya ukoma kufananisha KF na madustbin
........
Usishangae sanaNdo wanaoshindana na kapuku ?? Dunian kuna maajabu
Kwelii kabisa mkuuKipaumbele cha uzi siyo kuwa na post nyingi yaani kupost upuuziupiuzi tu ili sijui uwe na kasi au post nyingimfano sijui #@%&$$::;;"%-"#:++#_'
Hatupo kwa ajili ya kushindana na mtu(Uzi) yoyote .....uwepo wa huo uzi hawezi kutuzuia kufanya mambo yetu wala kuharibu urafiki/Umoja wetu
Tufabye mambo yetu hata uzi kwa siku ukiwa na kapage kamoja sawa tu ...ilimradi tuna maisha yetu
.......
nashkuru shemelaShemela leo unatema madini ya hatari sana (mazuri)
Alikuwa anakupiga changa la machoBinamu usimvishe zigo la totoz please. Mimi sitaamini mpaka mwenyewe akiri.
Kipaumbele cha uzi siyo kuwa na post nyingi yaani kupost upuuziupiuzi tu ili sijui uwe na kasi au post nyingi mfano sijui kupost makorokoro km vile ....5%"(8$*"!? #@%&$$::;;"%-"#:++#_'
Hatupo kwa ajili ya kushindana na mtu(Uzi) yoyote .....
uwepo wa huo uzi hawezi kutuzuia kufanya mambo yetu wala kuharibu urafiki/Umoja wetu
Tufabye mambo yetu hata uzi kwa siku ukiwa na kapage kamoja sawa tu ...ilimradi tuna maisha yetu
.......
My wifeenashkuru shemela