Makapuku Forum

Usinichekeshe bwana. Eti zigo la ukweli na ngozi fulani hivi. Sisi akina ngosha tunalaumiwa sana kuwa eti tunapenda ngozi nyeupe. Mimi sijali rangi wala kabila ali mradi tu mtu tuelewane kimitazamo. Kuhusu ng'ombe hilo halina tatizo. Ninao wa maziwa, wa kawaida na madume ya kulimia huko kijijini. Baba mkwe atakuja achague mwenyewe anachotaka. Baba Paroko basi na aachie mibaraka yake ili iwe!
 
Hbrn jmn,makapuku nikaribishen na mm kama nna vigezo mnavyovihitaji km cna jibiwe kwa upendo tu ntaelewa na kutoka kimykmy wapendwa!!!!!axnten!!
Karibu ndugu. Hata mimi ni mgeni lakini nimekaribishwa vizuri sana. Pengine huko mbele itakubidi ujikaze uandike sawasawa kidogo. Hii "axnten" mh. May be makapuku hawana noma. Ngoja kuche wenyeji waje.
 
Mhola sana Ngosha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…