8/
Ghana
Inajulikana kama pwani ya dhahabu yaani
Gold Coast
Inapatikana huko Afrika Magharibi
Migodi ya dhahabu inachangia GDP kwa 5%....inachangia pia 37% ya pesa za kigeni(export trade)
Ghana huzalisha zaidi ya Kg 100,000 za dhahabu kwa mwaka
Na inakadiriwa kuwa na hazina ya Tani 1,400
........