Makapuku Forum

Uzuri wa wenzetu ajali ikitokea wanajifunza na kufanya marekebisho. Bila shaka huu ulikuwa ndiyo mwanzo wa kujenga zile kuta imara na bonyevu kutenga magari na watazamaji. Siyo kama sisi ajali ile ile inatokea kila leo na hakuna kinachofanyika. Tunaishia kusema eti watu wanatoa makafara yao ya Freemason!
 

Heri kufika msituni kuliko utumwani gerezani
.....
 
Na tulivyo na imani za kishirikina km za "bwana yule"
Eti ajali ya Lucky Vincent utasikia wachawi na mvua hawapatani hivyo ni msimu wa makafara ya barabarani
Hata ajali ya basi kuteketea Butiama ni kafara la damu
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…