Makapuku Forum

Ukiondoka acha funguo kwa mangi, naona mimi huku nitakaa sana, au nitalala kabisa, na niseme kweli. Nilichomoa hela kidogo, tumenunua nyama naona dalili za kupikiwa pilau hapa.
Bhinamu unanifanyia nini sasa mm ujue siwez kurud nyumban bila wallet ...niliacha mia 9 na hapa mama D ananiwakiaa

Wallet mbona sionii na unavonambia umetoa kidogo sikuelewiii kabisaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…