Kiukweli ukitaka kumjua mtu kama yuko sawa upande huu make mm naamini wakunyime vyote lakin hii kitu ujaliwee lazima hii situation awe nayo ..angalau ikipungua mzee awike mara 4-5 usiku umelala
Kitaalamu inaitwa NPT nikimaanisha Nocturnal Penile Tunescence wengi wamezoea kuexperience hasa asubuh kama wazee wenzangu wanavokiheshimu kama morning wood...ila ndo hiyo situation ya usingizini...
Kiukweli ukitaka kumjua mtu kama yuko sawa upande huu make mm naamini wakunyime vyote lakin hii kitu ujaliwee lazima hii situation awe nayo ..angalau ikipungua mzee awike mara 4-5 usiku umelala
Kitaalamu inaitwa NPT nikimaanisha Nocturnal Penile Tunescence wengi wamezoea kuexperience hasa asubuh kama wazee wenzangu wanavokiheshimu kama morning wood...ila ndo hiyo situation ya usingizini...