Makapuku Forum

Ni Fossett
 
9Richey Edwards
Jina lake kamili ni Richard James Edwards...alizaliwa Desemba 22 1967 huko Wales
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa wa bendi iitwayo Manic Street Preachers
Alitoweka Feb 1 1995 wakati akienda kukutana na msanii mwenza James Dean wa MSP ili waelekee USA kwenye ziara ta promosheni
Gari lake lilipatikana likiwa limetelekezwa karibu na Severn Bridge lakini kamwe halikuweza kusaidia chochote
.........
 
Sahihisho kidogo Madenge. Ni Steve Fosset na siyo Fisset. Isitoshe mabaki ya kindege chake kidogo yalipatikana na pamoja na nayo vipande vya mifupa ya binadamu iliyoungua. Uchunguzi wa kiforensiki ulithibitisha kuwa hiyo ilikuwa ni mifupa yake. Inasemekana kindege chake hicho kilikumbwa na dhoruba kali ya upepo injini ikashindwa kuhimili misukosuko na kikajibamiza kwenye miamba milimani. Milionea huyu ni wazi aliungua kabisa kabisa japo pia inawezekana mabaki yake ambayo hayakuteketea yaliliwa na wanyama (mf. mountain lions, tai, coyotes n.k). RIP mwanaanga na mvumbuzi Fosset...
 
msukuma
 
8Jimmy Hoffa
Alizaliwa Feb 14 1913...alikuwa ni kiongozi wa Vyama vya Wafanyakazi huko Marekani
Pia alikuwa nimtunzi/mwandishi wa vitabu. ..na alikuwa ni Rais wa International Brotherhood of Teamsters (IBT}
Alitoweka July 30 1975 wakati akenda kukutana na viongozi wawili wa genge la MAFIA
Tangu hapo hajawahi kuonekana
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…