Huwezi kujua hili kwa hakika bila kuwapa muda wa kutosha kujionyesha true nature yao ndani ya upinzani. Inawezekana wamekuwa mzigo hata CCM ndiyo maana wakatoswa.
Ndiyo maana wengine tunapendekeza wapewe muda mpaka 2015 waangaliwe.
Hiki ndicho Kiranga anataka...... CCM iendelee kutawala mpaka 2015. Atafanya kila anachoweza hapa kumbakiza KIkwete madarakani (huku akisingizia kuwa anajaribu kusaidia upinzani).