Nimekuwa nikisema more or less the same thing hapa, wanaotoka CCM sasa hivi waangaliwe mpaka at least 2015, kama wameonekana kwamba wamefuata kazi ya chama -na sio kutafuta ubunge kwa sababu wameshindwa kura za maoni CCM- ndipo wapewe nafasi hizi.
Vinginevyo CHADEMA itakuwa inaalika chaos.
Ningependa nikukumbushe kuwa Dr Slaa alionekana kuwa kapi ndaniya CCM lakini akageuka kuwa ngano kwa Chadema mpaka sasa anaweza kugombea urais. Kama Chadema wangemkataa kwa kigezo hicho, huenda pasingekuwa na Celebrated Slaa leo. Mimi naona waje tu, Chadema ni ya watz wote, nani ajuaye tunaweza kumpata Slaa mwingine.