Makanisa yavunje MoU na Serikali...

Sikonge amka kumekucha sasa,

Fanya uchunguzi utagundua kwamba Dunia nzima inaendeshwa kwa mfumo Katoliki wala si Kristo is just Catholic. Rudi uliza wana sheria watakueleza vyema uwezo wa Canon Law ulivyopenya kote.

Halafu MoU ile is jusy PPP amka cha kulialia wewe
 
Last edited by a moderator:
Usiende huko!
Mahospitali,Makanisa,Shule vilivyojengwa na Mkoloni kwa hela ya Watanganyika wa dini zote viliachiwa Wakristo waendelee kuvimiliki baada ya Uhuru, Nyerere aliona mbali kuwa baadaye watu watakuja kuhoji hili hivyo akaleta ubabaishaji wa kujifanya kuvitaifisha baadaye kumuachia mwingine avirudishe!

MoU, Necta, Muungano ni vitu ambavyo Wakristo hawatokubali kwa gharama yoyote ile viingiliwe kwa sababu ndiyo mihimili yenyewe ya Mfumo Kristo

Kulijuwa hili ninalolisema angalia mtaharuki uliowapata wachangiaji hapa kuhusu hoja ya Kanisa kuvunja MoU na Serikali.

Wewe ndio mwislam msomi? And this is what you have in your head?
 
Thread ya ulevi hii. Tena ulevi wa udini. Kwani MOU ni nini? Na kama ushajua ni nini, Je, Waislam wanakatazwa kuwa na MOU na serikari kwa vitu kama Hospitals na vitu vingine wanavyoweza kuvifanya kwa ubia na serikali? Maana ya PPP ni nini? Ina maana hiyo PPP inaruhusiwa kwa watu wengine na si Makanisa? Hospital zilipe kodi? Tangu lini vifaa vya hospital vikalipiwa kodi?

Kama hujajua kuwa Sikonge anajaribu kujenga hoja gani naomba unyamaze
 
Last edited by a moderator:
Tuwe na data kamili, mimi nijuavyo MOU ni kuhusu maeneo serikali haina hospitali ili ziwe zinatoza gharama nafuu. Huwewezi kulinganisha gharama wanazotoza aga khan vs bugand. Ukiondoa ruzuku na kwa wakati huu hamna hospitali wilayani au ya rufaa mwanza wananchi wa hali ya chini wataumia.

Pili kutoa ruzuku ni upande wa mishahara ya watumishi wa serikali wanaofanya kazi huko. Vile vile inaiwezesha serikali kufanya mipango yake ndani ya hospitali hizo bila kuingiliwa kutokana na mambo ya kiimani. Mfano mpango wa uzazi wa serikali na chanzo mbali mbali.

Cha muhimu serikali ijenge hospitali zake tena bora halafu waangalie kama ipo haja ya kuendelea na kuwepo watumishi wake kwenye hospitali ambazo hawazimiliki.
 
St Augustine, Tumaini, St John, Makumila, Teophil Kisanji, Jordan na vyuo vingine ndio mkombozi sasa wa mtoto wa kimaskini...sijui wangeamua kutoza ada kwa kuangalia gharama za uendeshaji ingekuwaje, elimu ya chuo unailipia milion 1 adi mbili kama primary school za vigogo... Huko watoto wa kiislamu ambao kiukweli hawaingii vyuo vya serikali kutokana na marks zao kuwa ndogo ndio wanapoponea ila utakuta nao wanalaumu MoU.

Waislamu acheni kulalamika as if tunashindana, tushirikiane tujenge nchi yetu..hamtoweza kamwe kumudu gharama za huduma za misheni kama MoU ikiondolewa na mnapolalamika msijiangalie nyie kumbukeni na ndugu zenu uko bush wanaotegemea hizi huduma haswa afya.
 
Serikali inapeleka madaktari na kuwalipa ili kupunguza gharama za matibabu watanzania wote waweze kutibiwa, wakiacha tutaongeza gharama za matibabu kama Aga Khan halafu tuone utatibiwa wapi

Nandiomaana hawataki kujitoa MOU coz wanajua hawawezi kumudu kuwalipa madaktari hata kama watapandisha gharama...hahahaha. Unaongea nyuma ya PC that why mziki wake uhujui that why. Fanyani hivyo muone. Kama hamja bakia na magofu ya kufugia mijusi na sehemu za wapita njia kujisaidia
 
Mimi sioni sense kwenye mtoa mada wala baadhi ya wanaochangia. Dunia nzima, ndugu zetu wamekuwa wakilalama kila kukicha. Si hapa TZ tu, ni kokote unapojua uislamu upo. I tell you people, swala la upeo ni tatizo kubwa sana. Ukweli ni kwamba, on fair grounds, with no subsidy or whatever, muslims and non muslims will be loosers. After all, nchi hii si ya waislamu na wakristu pekee. Kuna wapagani pia, tena ni wengi sana. Go to Arusha, Mwanza, Tabora, Shinyanga, etc. I have lived there and I know. Mimi ninachojua, MOU ya makanisa za dini ni kwa hospitali teule za wilaya na za rufaa (KCMC, Bugando, etc) na si hospitali zote. Sijui kama kuna subsidy kwenye mashule zaidi ya ada kwa wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu vya makanisa ambazo hazibagui uislamu au ukristo.
 
Mkuu Sikonge,

Kuna msemo wa kidhungu unasema "if you give a mouse a cookie he is gonna want a glass of milk"; hawa watu hawataishia hapo kwa sababu hili neno mfumo kristo ni pana sana kwao ingawaje wanaficha,wanataka hii nchi iwe ya kiislam kwa hiyo watataka baa zote zivunjwe, kitimot kisiuzwe, wanawake wote wajifunike gubigubi na upuuzi mwingine kama huo..

Mnaomshambulia Sikonge ana mawazo mgando nyinyi ndio mna mawazo mgando kwa sababu kuhusu MOU muislam mwenzao JK kawaambia waanzishe miradi ya kijamii ambayo itapata ruzuku kutoka serikalini kama wakristo lakini hadi leo hata duka la dawa za kienyeji kama "habat sauda" hawajaanzisha na wanaendelea kupigia kelele MOU!

Mimi nashauri kabla wakristo hawajajitoa kwenye hiyo MOU,waingie MOU nyingine na hawa waislam kuacha kuwachokoza wakristo kwa kisingizio cha kupata ruzuku.

Wasiwasi wangu wataendelea kupiga kelele kuhusu elimu sababu namba yao vyuoni bado ni ndogo sana...

Lord help us
 
Last edited by a moderator:
Cha muhimu serikali ijenge hospitali zake tena bora halafu waangalie kama ipo haja ya kuendelea na kuwepo watumishi wake kwenye hospitali ambazo hawazimiliki.
Serikali ijenge kwa pesa gani wakati mabilioni ya pesa za serikali zinakwenda Kanisani kupitia MoU.
Unataka serikali ikachukuwe mkopo wenye riba kujenga hizo hospitali na Vyuo bora, mkopo na riba ambazo baadae zitawaumiza wananchi wenyewe wakati hela zao zipo zinakwenda Kanisani?
...ivunjwe MoU kwanza!
 
Nandiomaana hawataki kujitoa MOU coz wanajua hawawezi kumudu kuwalipa madaktari hata kama watapandisha gharama...hahahaha. Unaongea nyuma ya PC that why mziki wake uhujui that why. Fanyani hivyo muone. Kama hamja bakia na magofu ya kufugia mijusi na sehemu za wapita njia kujisaidia
wewe ni mpuuzi wa kwanza na wa mwisho!!!hao waislam wako wameshindwa kuanzisha hata zahanati ili mpate hiyo ruzuku!!what kind of people are you?hamna shukrani kabisa,nenda hospitali za misheni utakuta wapemba kibao na hijab za kutosha,if you tell this in their faces they will definitely spit at you moron.
 
Nandiomaana hawataki kujitoa MOU coz wanajua hawawezi kumudu kuwalipa madaktari hata kama watapandisha gharama...hahahaha. Unaongea nyuma ya PC that why mziki wake uhujui that why. Fanyani hivyo muone. Kama hamja bakia na magofu ya kufugia mijusi na sehemu za wapita njia kujisaidia

kabla ya MOU kanisa lilishindwa kuendesha tahasisi zake si ndio...!!mou yenyewe imekuja juzi tu hapa,ivunjwe basi alafu tahasisi zote za kanisa zitoe huduma kwa wakristo peke yake alafu tuone gap lake kama amjatuchinja kabisa...hapa nazungumzia shule,vyuo vya ufundi,vyuo vikuu vya kikristo vitoe huduma kwa wakristo pekee..nyie mwende kwenye vyuo vyenu au tukutane kwenye kuzigombania nafasi serikalini ambapo pia tunawashinda qualifications.
 
Nandiomaana hawataki kujitoa MOU coz wanajua hawawezi kumudu kuwalipa madaktari hata kama watapandisha gharama...hahahaha. Unaongea nyuma ya PC that why mziki wake uhujui that why. Fanyani hivyo muone. Kama hamja bakia na magofu ya kufugia mijusi na sehemu za wapita njia kujisaidia

Madaktari gani unaowazungumzia??nani kasema hawawezi kuwalipa? Mtaumia nyie na vikofia vyenu
 
Si mumwambie "mwenye nyumba" a-pull the trigger ili "mou" i-die? Kwani anaogopa ninini?

Kwanini nyie mbishane?
 
Sikonge makanisa hayajajenga shule na hospitali sababu ya MoU na serikali.

Hizi dini mbili; ukristo na uislamu zina background na mitazamo tofauti sana. Uislamu unatilia maanani sana masuala ya kueneza uislamu bila kujali masuala ya maendeleo kijamii ya waislamu tofauti sana na ukristo ambao mbali ya kueneza dini yake mkazo mkubwa unawekwa katika maendeleo ya binadamu pia. Angalia kila lilipo kanisa huwezi kukosa kuona japo shughuli ndogo ya kimaendeleo kama zahanati au nursery school.

Leo makanisa yanamiliki vyuo vikuu kadhaa; Tumaini university, Ruaha university, St John university, St Augustine University, Makumira university etc wakati waislamu wanamiliki chuo kikuu kimoja tu tena cha kupewa bure na serikali. Kwa hiyo ni dhahiri hizi dini mbili zinatofautiana sana kimtazamo juu ya maisha ya binadamu. Makanisa yanamiliki hospitali kubwa nchini ambazo zinahudumia wananchi wote bila ubaguzi; Bugando, KCMC, DCMC, St Francis, Hospital teule Muheza, Hospital teule Biharamulo, Ndolage, Ipamba, Songe, Ikonda, Bulongwa etc hospitali za waislamu ziko wapi?

Acheni kulalama badilisheni mtazamo vinginevyo wakristo watazidi kuwatimulia vumbi. Mnapolalamika kuhusu MOU sijui mnajua maana yake. MOU ni hati ya makubaliano ya ushirikiano baina ya pande mbili na kuendelea. Kistaarabu huwezi kuingia kwenye mashirikiano yoyote serious bila kwanza kuwepo MOU. Nimewatajia baadhi ya hospitali za makanisa ambazo serikali imeomba kuzichangia ili kuongeza ufanisi wa utoaji huduma wa wananchi wote sasa hilo lingefanyika vipi bila kwanza kuwepo MOU. Washikaji pigeni shule udaku na ramli havisaidii.

KWAHERI
 
Last edited by a moderator:
Serekali haijashindwa kujenga hosptali au shule, makanisa yaendeshe shule zake na hospt na yaache kutegemea kodi tunayolipa watanzania wote inufaishe watu wachache.

Tuangalie chanzo cha malalamiko ya waislam na tukitibu na sio kujaribu kutibu matokeo kama lilivyofanya tamko la maaskofu leo.
Serikali imeshindwa kujenga hospitali na shule kukidhi mahitaji ya nchi ndio maana kuna ongezeko kubwa sana la hospitali na shule binafsi. Rejea hotuba ya JK kwa Wauslamu huko Dodoma.
 
Naomba kujua yafutayo, hivi kile chuo kikuu cha Kiislam cha Morogoro (sijui hata kama kina exist) kinaendeshwa kwa gharama za Bakwata 100%? Hizi shule za kiislam kama Al haramain n.k na zenyewe hazina mkono wa serikali?

Nitoeni pia utata, nasikia Mufti wa BAKWATA huwa nae analipwa na serikali; Je, ni kweli? Na kama sio kweli, analipwa na nani? Msiniambie kwamba Waislam ndio mnaomlipa...

Msaada tafadhari!
 
jmushi1

Mkuu hizo NSSF, NHC na nyinginezo zenye MoU na serikali ni taasisi za umma na hakuna asiyelijua hilo. Ziko pale kwaajili ya watanzania na hazina uhusiano wowote na dini.

Suala la kujiuliza, siku zote malalamiko ya MoU ya kanisa na serekali yametolewa lakini sio kanisa wala serekali lililotoa ufafanuzi, wanategemea watanzania tuamini nini kama sio kusadiki yanayosemwa na tunao ipinga MoU?

Tukisema kuvunja MoU kutaleta shida kwa watanzania wa kipato cha chini hiyo sio kweli kwasababu watatibiwa kwa kutumia bima ya afya ya NHIF kwa watumishi au CHF kwa watu wengine.

Mbona ukiwa na kadi ya NHIF unaenda hospital yoyote ya private kama Agakhan na unatibiwa?
 
Last edited by a moderator:
-Kwa wasio Wakristo na hapo wanapoishi hakuna hospital ya Serikali au ya dini yao, basi itabidi wailazimishe Serikali MPYA ya Tanzania ambayo haitakuwa na Mfumo Kristo tena ili wawajengee Hospitals za Serikali.

Kama Serikali ikishindwa basi wajiandae kulipa gharama kubwa kwenye huduma hizo za jamii au KUBADILI DINI. Kama siyo hilo basi na wao na dini zao wajenge hizo huduma za jamii ili kushindana na za Makanisa.

Nafikiri muda umefika wa kuonyesha kuwa Viongozi wa Makanisa ni Wasomi wa hali ya juu na siku zote "Akili kubwa hutawala akili ndogo......" Vinginevyo, akili zao zitakuwa kazi bure kama hawawezi kutatua matatizo yaliyowazunguka.

Lengo la Ukristo si nani mwenzetu, bali ukristo unajukumu kubwa la kulinda uhai wa kila mwanadamu katika dunia hii bila kujali imani yake, dini, elimu rangi, jinsia wala taifa.
And hence, hayapo tayari kuona utu wa mtu ukidharirishwa kwa kukosa elimu, maarifa, huduma za afya n.k na hapo ndipo ulipo msingi wa huduma za kiroho kwa jamii.

Kwa namna ulivyoyaanika hayo mawazo yako umepita picha ni kipi kitatokea pale Sikonge? Mazinge Hospital (District Hospital) imeshamalizwa kujengwa na kuanza kazi lakini inasuasua, hakuna hata huduma moja ya upasuaji inayofanyika pale wa ya kulaza wagonjwa kuna ward lakini ni makazi ya vumbi, koboko na ndege. Huduma za kulaza wagonjwa na upasuaji zote zinafanyika Sikonge District Designated Hospital(DDH) now CDH (Council Designated Hospital).

Na hospital hiyo ya Mission kila mwaka huleta flying Doctors kwa ajili ya kuendesha upasuaji mdogo kwa wananchi wa pale ambao hutangaziwa in Advancea, Ndala Hospita iliyopo Wilayani Nzega nayo I hope unaielewa vizuri coverage yake, Pia kuna Nkinga Hospital iliyopo Wilayani Igunga ambayo kwa sasa ni Referal Hospital pekee katika mikoa ya kanda ile. Sina wasiwasi na Hospitals za Makanisa yaliyopo Tukuyu na mkoani Mbeya kwa ujumla sababu majority wata qualify kwa huduma hizo...lakini hiyo minority bado ni pigo kubwa sana tunapoongelea uhai wa mwanadamu.

Think again....do you real mean Bugando ikate huduma kwa wakazi wa Mwanza kwa kigezo cha Imani? Unadhani kanisa limejipa mamlaka na uwezo wa kutambua ni yupo muumini wa kweli and who is faking? Hilo ni jukumu la Mungu pekee, wajibu wa kanisa ni kustawisha maisha ya mwanadamu popote alipo, kuhakikisha utu wa mtu unaheshimiwa.
And hence, kanisa halipo tayari kuona utu wa mtu unadharirishwa kwa kukosa elimu, maarifa, huduma za afya n.k.
 
Nandiomaana hawataki kujitoa MOU coz wanajua hawawezi kumudu kuwalipa madaktari hata kama watapandisha gharama...hahahaha. Unaongea nyuma ya PC that why mziki wake uhujui that why. Fanyani hivyo muone. Kama hamja bakia na magofu ya kufugia mijusi na sehemu za wapita njia kujisaidia

Hizi ni emotions!

Maeneo mengi ambapo serikali imeingia mkataba na makanisa ni kule serikali isipokuwa na hospitali ya kiwango na tena ni serikali hiyo hiyo inayoomba makanisa na si the other way around.

Hospitali kadhaa kama Hydom (Mbulu) na Seliani (Arumeru) zimeingia mkataba na serikali less than 10 yrs ago. Kabla ya hapo zilikuwa zinajiendesha, tena vizuri sana. Makanisa by standards, hata kama yakiachiwa peke yake bado yatafanya vizuri kwani for years yamekuwa yakifanya vizuri kwenye elimu na huduma nyingine hata zile zisizokuwa na msaada wa serikali.

Nyerere did well kupunguza kasi ya makanisa kwa kutaifisha shule na hospitali miaka ya 70 ili kuwasaidia wnyonge. Kama serikali itajitoa, on fair grounds many will suffer!!!
 
Back
Top Bottom