Makanisa yasiyosajiliwa yanazidi 3000, yenye usajili kamili hayafiki mia ' Mwakipesile,anaonewa!!

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,033
2,769
Ukiiacha mbali, KKKT, Catholic, Anglican, AIC, Mennonite, Philadelphia, Sabato, TAG, na EAGT, Makanisa mengine mengi yamepewa vibali vya Ministry na sio churchers.

Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka Rukwa, Mbeya na mikoa mingine, hata TAG, ilitokea Marekani ililetwa na wamishenari mwaka 1915.

Kwa Sasa churchers usajili wake ni mgumu haupo kabisa, kilichopo ni vishikizi yaani ministry, hakuna Tena usajili wa makanisa Tanzania tañgu 1995, ila kuna vibali vya kuanzishwa huduma binafsi yaani ministry

Kwa huduma hizi za ministry zilizotapakaa Kila Kona hazina usajili Wala makao makuu popote! Ni mtu anaamka anahisi anahuduma kesho anaanza kuhubiri na tayari anakuwa Askofu!

Kwa utafiti wangu wa kina karibia makanisa 3000 hayana usajili wowote, na huduma zilizosajiliwa haziwezi kufika mia kwa Tanzania yote.

Kama Serikali na mahakama imeanza kuwafunga wachungaji hawa magerezani na bila hata faini na wapa hili kwamba wakamatwe wachungaji wote nchi nzima Kona zote ambao hawana vibali na kuwafunga magerezani lakini kumfunga Mbarikiwa peke yake kana kwamba ni huduma yake TU ndio Haina kibali nchi nzima ni uongo na unafiki mkubwa sana.

Tukitaka kuwa wachafu tuwe wachafu na tukitaka kuwa wasafi tuwe wasafi.
 
"Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine"

Unapotosha
 
"Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine"

Unapotosha
Ukisema anapotosha bila kuweka ukweli ukoje unakuwa hujalitendea haki jukwaa letu.
 
Mkuu, minaishi huku nyuma kabisa chiiiini mwisho wa hili linchi.
Ebu kwanza nijuze huyo Mwakipesile ndio nani huko daslam..🤔
 
Ukiiacha mbali ,kkkt,catholic,Anglican ,aic,Mennonite,Philadelphia,sabato tag,na eagt..makanisa mengine mengi yamepewa vibali vya ministry na sio churchers ! Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine ,hata TAG,ilitokea marekani ililetwa na wamishenari mwaka 1915..kwa Sasa churchers usajili wake ni mgumu haupo kabisa ,kilichopo ni vishikizi yaani ministry ,hakuna Tena usajili wa makanisa Tanzania tañgu 1995, ila Kuna vibali vya kuanzishwa huduma binafsi yaani ministry ,,kwa huduma hizi za ministry zilizotapakaa Kila Kona hazina usajili Wala makao makuu popote! Ni mtu anaamka anahisi anahuduma kesho anaanza kuhubiri na tayari anakuwa askofu! Kwa urafiti wangu wa kina karibia makanisa 3000 hayana usajili wowote ..na huduma zilizosajiliwa haziwezi kufika mia kwa Tanzania yote ! Kama serikali na mahakamq imeanza kuwafunga wachungaji Hawa magerezani na bila hata faini na wapa hili kwamba wakamatwe wachungaji wote nchi nzima Kona zote ambao hawana vibali na kuwafunga magerezani lakini kumfunga mbarikiwa peke yake kana kwamba ni huduma yake TU ndio Haina kibali nchi nzima ni uongo na unafiki mkubwa sana ! Tukitaka kuwa wachafu tuwe wachafu na tukitaka kuwa wasafi tuwe wasafi ,
hiyo taarifa umeitoa wapi, weka chanzo. unachotakiwa kujua ni kwamba, yapo makanisa madogomadogo huko mikoani ambayo unawezafikiri hayajasajiliwa labda kwasababu haujawahi kuyasikia, kumbe ni branch tu, makao yao makuu yamesajiliwa. shida ya mwakipesile aliachana na main church, akataka kuanzisha kanisa lake jipya, he was not a branch of any of those, kilikuwa ni kitu ambacho hakijawahi kusajiliwa, na zaidi ya yote, aina ya mafundisho yake yalikuwa yanahatarisha ustawi wa jamii kabisa. angelijua angebaki tu kwenye uimbaji huko ndiko Mungu alimwitia, kule alikolaimisha kwenye kikosi kazi (meaning task force), kilikuwa kikundi cha kihuni tu.
 
"Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine"

Unapotosha
Nionyeshe churchers yoyote ambayo asili yake ni Tanzania mkuu! Itaje hapa nitakupa evidance
 
hiyo taarifa umeitoa wapi, weka chanzo. unachotakiwa kujua ni kwamba, yapo makanisa madogomadogo huko mikoani ambayo unawezafikiri hayajasajiliwa labda kwasababu haujawahi kuyasikia, kumbe ni branch tu, makao yao makuu yamesajiliwa. shida ya mwakipesile aliachana na main church, akataka kuanzisha kanisa lake jipya, he was not a branch of any of those, kilikuwa ni kitu ambacho hakijawahi kusajiliwa, na zaidi ya yote, aina ya mafundisho yake yalikuwa yanahatarisha ustawi wa jamii kabisa. angelijua angebaki tu kwenye uimbaji huko ndiko Mungu alimwitia, kule alikolaimisha kwenye kikosi kazi (meaning task force), kilikuwa kikundi cha kihuni tu.
Kwa taarifa Yako kibali Cha ministry hakikupi ruhusa ya kufungua matawi ndio maana akina lusekelo ni wao tu
 
Ukiiacha mbali ,kkkt,catholic,Anglican ,aic,Mennonite,Philadelphia,sabato tag,na eagt..makanisa mengine mengi yamepewa vibali vya ministry na sio churchers ! Ministry ni huduma inayomilikiwa na mtu Mmoja au ni maono ya mtu Mmoja lakini churchers ni missionaries ni taasisi ambazo asilimia kubwa zimetoka ng'ambo..ministry TU ndizi utawakuta waasisi wake wametoka rukwa ,mbeya na mikoa mingine ,hata TAG,ilitokea marekani ililetwa na wamishenari mwaka 1915..kwa Sasa churchers usajili wake ni mgumu haupo kabisa ,kilichopo ni vishikizi yaani ministry ,hakuna Tena usajili wa makanisa Tanzania tañgu 1995, ila Kuna vibali vya kuanzishwa huduma binafsi yaani ministry ,,kwa huduma hizi za ministry zilizotapakaa Kila Kona hazina usajili Wala makao makuu popote! Ni mtu anaamka anahisi anahuduma kesho anaanza kuhubiri na tayari anakuwa askofu! Kwa urafiti wangu wa kina karibia makanisa 3000 hayana usajili wowote ..na huduma zilizosajiliwa haziwezi kufika mia kwa Tanzania yote ! Kama serikali na mahakamq imeanza kuwafunga wachungaji Hawa magerezani na bila hata faini na wapa hili kwamba wakamatwe wachungaji wote nchi nzima Kona zote ambao hawana vibali na kuwafunga magerezani lakini kumfunga mbarikiwa peke yake kana kwamba ni huduma yake TU ndio Haina kibali nchi nzima ni uongo na unafiki mkubwa sana ! Tukitaka kuwa wachafu tuwe wachafu na tukitaka kuwa wasafi tuwe wasafi ,

Acha uongo. Kwa hivyo makanisa Kama FPCT, PEFA, ELIM, Pentecostal Hollines ni Ministry?. Haya ndio makanisa ya kwanza ya kipentekoste Tanzania.
 
hiyo taarifa umeitoa wapi, weka chanzo. unachotakiwa kujua ni kwamba, yapo makanisa madogomadogo huko mikoani ambayo unawezafikiri hayajasajiliwa labda kwasababu haujawahi kuyasikia, kumbe ni branch tu, makao yao makuu yamesajiliwa. shida ya mwakipesile aliachana na main church, akataka kuanzisha kanisa lake jipya, he was not a branch of any of those, kilikuwa ni kitu ambacho hakijawahi kusajiliwa, na zaidi ya yote, aina ya mafundisho yake yalikuwa yanahatarisha ustawi wa jamii kabisa. angelijua angebaki tu kwenye uimbaji huko ndiko Mungu alimwitia, kule alikolaimisha kwenye kikosi kazi (meaning task force), kilikuwa kikundi cha kihuni tu.

Huyo jamaa ni mpotoshaji Sana. Anadhani ili kanisa lisajiliwe lazima liwe maarufu.
 
Back
Top Bottom