Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Ha ha ha haaa! Kuna kanisa moja hapa Mbeya siku moja wakati ibada inaendelea mchungaji akasema "kila muumini mwenye shilingi 10,000 mfukoni asimame" wakasimama (si mnajua tena ukikauka mchungaji anadai hiyo elf 10 Mungu anaiona, ha ha ha). Basi wasijue hili wala lile wakiwa wamesimama wakaambiwa waende mbele. Kikapu kikasogezwa ili waweke hiyo 10,000 walipoweka wakaambiwa waende kwa amani Mungu arawaongezea! Sasa je huo sio wizi? Yaani watu waliharibiwa bajeti zao vibaya mno. Nasikia walishaanza kulihama kanisa hilo.
 
Mbona Kwa waganga mnapeleka mbuzi, kuku na vitu vingine. Lazima mmpeleke
 
Hayo makanisa ni miradi ya watu inayowaingizia pesa mingi sana... Ukiachana huo mlolongo wa sadaka hakuna Huduma inatolewa bure
Mi nashangaa unakuta mnachangishwa hela kibao kujenga hospital. And then after that hakuna hata ahueni kwa mliochanga. Mnapigwa vilevile tu kwa gharama kubwa sasa si bora zile hela zangu ningeweka zinisaidie baadae
 
Mbona kwa waganga kienyeji mnatoa sadaka why kanisani iwe shida. Nina mashaka na imani yako
 
Wewe sio mkatoliki ndo maana sitokujibu swali lako
ACHA UPIMBI WEWE, WEWE UNAJIONA MKATOLIIIKI? HAKUNA MKATOLIKI ZAIDI YA PAPA NA BADO ANAENDELEA KUKOSOA BAADHI YA MAMBO SO UKATOLIKI UTAENDELEA KUKOSOLEWA TUU
 
Mbona kwa waganga kienyeji mnatoa sadaka why kanisani iwe shida. Nina mashaka na imani yako

Wapuuzi hawa,mimi nitatoa kwa Mungu kwa nguvu zangu zote,nikikaa na mchungaji kama haongei mabo ya kumtolea Mungu naondoka.

Kutoa kwa Mungu inalipa sana
 
Hebu wewe ambaye ni Nabii wa kweli nifafanulie haya maandiko ambayo niliandika kwenye comment yangu; MATHAYO 25:31-40, YAKOBO 1:27, MATHAYO 9:13.
Na kisha uniambie dhambi yangu ni nini hata useme nitubu, nikiijua dhambi yangu hakika nitatubu. Nasubiri ufafanuzi wa hayo maandiko. Na ukishindwa kunifafanulia basi wewe ndiye Shetani Ibilisi unayewadanganya watu, wewe ndiwe utapaswa kutubu ikiwa utashindwa kuniambia maana ya maneno hayo.
 
Acha yani kama wakiendaga kwenye semina wanafundshwa mbinu za kutufanya tutoe jamani khaaa!
 
Kumbe siku hizi bado kuna sadaka!? Nijuavyo mimi huwa hatutoi sadaka bali tunatoa michango.
 

Kumbe uliisikiliza ile makala? Kwamba mtu anaweza kufanyia ukandamizaji au unyanyasaji (nimekosa neno zuri la kiswahili) hadi huyo anaefanyiwa ukatili anampenda mtesi wake.
 
Hizo ni changizo hata usipotoa si dhambi wala huendi Motoni. Ila ukiona Kanisa linakwambia halina habari ya zaka au sadaka achana nao hawana nia nzuri na wewe. Zaka na sadaka ni utaratibu wa Mungu.
 
Kumbe uliisikiliza ile makala? Kwamba mtu anaweza kufanyia ukandamizaji au unyanyasaji (nimekosa neno zuri la kiswahili) hati huyo anaefanyiwa ukatili anampenda mtesi wake.
Hayo ni mambo yapo siku nyingi.

Nilichokuwa sijui ni hii asoectvya "financial dominatrix".

Mwanamke anakufunga kamba, anakuchapa fimbo, anakutukana, halafu anakwambia umoe hela zako zote zilizo benki. Unampa.

Kukudhalilisha hivyo ndiyo furaha yako.

Utajiri nao una matatizo yake tofauti na ya umasikini.
 
Kwani unasachiwa ukiamua kutotoa kabisa utafukuzwa kwenye ibada?
 

Mathayo 12:39 "Yesu akajibu ,akawaambia,kizazi kiovu na cha zinaa,chatafuta ishara wala hakitapewa ishara,ila ishara ya Yona"

Sitakujibu kwasababu wewe ni kizazi kiovu na cha zinana! Unayesema hakuna haja ya watu kumtolea Mungu wala kwa kazi ya Mungu.Tubu upesi.

Mathayo 3:7... Enyi wazao wa nyoka,ni nani aliyewaonya kuikimbia hasira inayokuja?Basi zaeni matunda yapasayo toba.Wala msiwaze mioyoni mwenu kwamba tunaye baba ....

Na shoka limekwisha kuwekwa penye mti,basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.

Kazi kwako kama utaendelea kukumbalia hizo roho zidanganyazo au utaamua kutubu,nakushauri utubu na uanze kumtolea Mungu na kusimama na kazi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…