Makanisa ya ajabu au mwisho wa dunia?

Makanisa ya ajabu au mwisho wa dunia?

walisahau kuweka na
nimefurahishwa na bandiko la segerea, hasa kwenye jezijezi...hawataki usimba na uyanga kanisani ....hiyo safi sana
hguo za chadema na ccm.ukivaa hivi ujue kanisani segerea hautaingia
mlinzi wa makinkia.jpg
View attachment 646344 View attachment 646344
 
Usitishwe kusikia neno "kanisa"., yako makanisa mengi tu ya kishetani, ILA UWEPO WA MAKANISA HAYO YA KISHETANI HAKUBATILISHI KUWEPO KWA KANISA LA KWELI LA YESU KRISTO LILIOANZA SIKU ILE YA PENTEKOSTE. (Soma MATENDO YA MITUME MLANGO WA 2:---)
 
Huo ni mwanzo tu, tutashuhudia vingi vya ajabu
 
Kunywa baada ya ibaada sioni shida ila wakati wa ibada hapo sioni kama ni busara
Hahahaaa jamaa ni mbunifu sana. Kuna mijitu yanaamka jumapili asubuhi yanaenda baa. Sasa jamaa kaamua kuwasogezea huduma ili awape vyote yaani neno na kilaji. Ila sijui wananunua au wanapata kwa utaratibu gani.
 
kilichonifurahisha zaidi ni hata wakati wa kubatizwa unachagua kinywaji cha kumwagiwa badala ya maji.mimi hilo kanisa nitakuwa muumini mzuri sana
Hahahaaa jamaa ni mbunifu sana. Kuna mijitu yanaamka jumapili asubuhi yanaenda baa. Sasa jamaa kaamua kuwasogezea huduma ili awape vyote yaani neon na kilaji. Ila sijui wananunua au wanapata kwa utaratibu gani.
 
HILO KANISA LA KWELI LIKO WAPI NA UNAJUAJE? KUNA WAKATI HUWA NAJIULIZA NI KWANINI DINI ZOTE KUBWA ZIMEANZIA MASHARIKI YA KATI NA WENGI WA WATU WA MASHARIKI YA KATI HASA WAISRAELI SIO WAKRISTO.NI KWANINI?
Usitishwe kusikia neno "kanisa"., yako makanisa mengi tu ya kishetani, ILA UWEPO WA MAKANISA HAYO YA KISHETANI HAKUBATILISHI KUWEPO KWA KANISA LA KWELI LA YESU KRISTO LILIOANZA SIKU ILE YA PENTEKOSTE. (Soma MATENDO YA MITUME MLANGO WA 2:---)
 
Hivi kanisa ni nini hasa tuanzie hapo then tuendelee mbele..
 
Hao nao ni walewale tu.

Mnyama 666 yuko pale Vatican kwenye kile kiti cha enzi cha ibilisi.
Axanteee FUNDI.....vicarvis filii dei(666) akiwa anaongozwa na general of Jesuit fathers...pale ndo mwanamke aliyejaa uasherati alipo....na pembeni kidogo pale Vatican kuna knight templar of Malta...hahaaaass
 
Ukitenda dhambi nikakwambia, au kama unakosea nikakwambia huko sio kuhukumu. NI LAZIMA TUWEKANE SAWA KTK SAFARI YETU YA MBINGUNI
KUMUHUKUMU MTU NI PALE UTAKAPOMWAMBIA KWAMBA HATA UKITUBU WEWE HAKUNA MSAMAHA WA MUNGU MOJA KWA MOJA MOTONI KAMA ALIVYOHUKUMIWA SHETANI NA JESHI LAKE. KINYUME NA HAPO NI KUWEKANA SAWA, KUONYANA NA KUKUMBUSHANA. ROHO WA KUTOPENDWA AMBIWA UKWELI NI ROHO WA SHETANI LAZIMA TUMKEMEE.
 
Hiyo ni dalili mojawapo ya mwisho wa dunia ila sio wanaosali kwenye makanisa tu ndio wanaomjua Mungu wa kweli..

Mungu pekee ndiye anayejua yupi ni wake na si wake..usisahau kwa mtini jifunzeni
 
Back
Top Bottom