tbl
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 116
- 41
Makamu wa Raisi amepita eneo la Kiwira,watoto wa shule za msingi na baadhi wa sekondari waliambiwa na walimu wao wafike barabarani kumpokea mheshimiwa wakiwa na uniform,matokeo yake wanapotawanyika wamesikika wakilalamika hivi "ameshindwa hata kushusha kioo cha gari sasa tulikuja kufanya nini" .nawatakieni jumapili njema