MAN OF CHANGES
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 507
- 191
Wana JF naomba mwenye CV ya makamu wa rais mr. Bilali aiweke adharani bs kuna kuna habr ambazo kwangu mm bado ni tetesi kuwa mkuu huyu ni Dr. wa mambo ya kemikali na sana kwenye teknolojia ya nucler na alishafanya kazi Urusi kabla ya kurudi kwenye siasa ya bongo.plz wenye data sahihi tujuzeni.