Makamu wa rais wa Tanzania ni mtaalamu wa nuclear

Tatizo la mfumo wa Tanzania, hata uwe umesoma kiwango gani au fani muhimu kiasi gani, bila kuingia kwenye siasa, hujioni kama umefanikisha lolote la maana katika maisha yako.

Nchi hii toka mashirika ya umma yafirisike na kuuzwa,kazi iliyobaki inayolipa ni siasa tu na ndio maana wabunge wanaongezewa posho kiulaini wakati waganga mabingwa hawalipwi haki zao!! That is Tanzania for you with your President being ridiculed by newspapers in europe as a beggar attending the DAVOS conference!!
 
Zakumi,

..there has to be a revolving door kati ya akademia, siasa, sekta binafsi, etc etc.

..haiwezekani tuwe na wahadhiri wa Political Science ambao hawajashiriki ktk harakati zozote za kisiasa, au hata kutoa ushauri kwa vyama vya siasa na wagombea.

..pia majaji wastaafu na mawakili wanaweza kuwa wahadhiri wazuri ktk idara za sheria ktk vyuo vyetu vikuu.

..tatizo letu ni kwamba hatusomeshi wataalamu wa kutosha. sasa akitokea mtu kama Sarungi kwenda kushiriki siasa basi watu wanaanza kulalamika kwamba utaalamu wake unapotea.

NB:

..katika wagombea wanaochuana kupata tiketi ya kum-challenge Obama, yumo Daktari.Ron Paul.

Jokakuu,

Huko sahihi kabisa. Lakini nchi yetu yenye command economy, naona priories zetu sio sahihi. Leo wanasiasa na wapenzi wa Nyerere wanalalamika kuwa nchi haikuendelea kwa sababu tulipopata uhuru tulikuwa na mainjinia wawili tu.

Je tungekuwa na wainjinia 2000 wakati tunapata uhuru na wote wakahamua kuwa wanasiasa, tungeendelea?
 
Nchi hii toka mashirika ya umma yafirisike na kuuzwa,kazi iliyobaki inayolipa ni siasa tu na ndio maana wabunge wanaongezewa posho kiulaini wakati waganga mabingwa hawalipwi haki zao!! That is Tanzania for you with your President being ridiculed by newspapers in europe as a beggar attending the DAVOS conference!!

Mashirika ya umma ndio chanzo cha kuua innovation Tanzania.
 
sina pingamizi na elimu yake kuwa mwana sayansi wa nuklia , darasani watu husoma 1+1>2 lakini ukishatoka darasani unatakiwa uifanye 1+1 > 3 kama ulisoma kwa kupata cheti hii test ya nje ya darasa wala hutakuwa na umuhimu nao .

hili ndiyo tatizo kubwa la wasomi wa Tanzania wanavyeti lakini kazi hawawezi ,kila sababu wanatowa ,mitaji , uongozi mbaya , bla bla . bla na kibaya zaidi huwawanataka kuwa viongozi wa juu ukiuliza yeye ni profesa , Dr , hebu tujiulize huyu mheshimiwa kama kasoma hiyo fani ambayo sina wasi wasi naye ,jee kaelewa ?? hapa ndiyo mbinde , huyu mheshimiwa anacheti cha kupamba ukuta tuu lakini hana uwezo wakuwa mwanasayansi , ametaka kusoma kuwa ili afike hapo alipo , ninasema hivi kwasababu ninauhakika , TANZANIA tumegunduwa URANIUM wakati mheshima yuko chuo na tukiwa gizani , ameingia madarakani tukiwa gizani atakufa atatuacha gizani na hapo ndiyo yeye atakwenda kuishi gizani huko futi sita chini ,

ANGELIKUWA ANIIJUWA FANI VIZURI BASI TUNGELIKUWA TUMESHAPATA UMEME WA BEI YA CHINI NA KUUZA EAST AFRICA NZIMA , KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI
 
Mkuu unajua tena simu za kichina. ni kweli nimechanganya. Vipi Rage bado anakuja hapo kijiweni? The Big Mayai vipi?

Aden bado mpaka kesho anakuja,si unajua club ni maradhi sugu huponi,hata uwe waziri lazima utaimiss club na utapita tu hata mara moja for 3 month...unakumbuka big mayal,basi mbele kidogo pale kwenye hotel zile sasa hivi sijui king palace sijui nini ilikua nyumba ya washkaji zangu kina kasanga tulisafiri pamoja safari yangu ya kwanza..
 
Kama sikosei kijiwe cha Saigon kimehama pale Sikukuu, huwa nawaona kina Hussein (Yanga) pale nyumba ya Bakhresa Narung'ombe na Livingston. Huyu Yanga, kwetu ni mtaa mmoja, wao pale Udoe, mimi Udoe na Lumumba marehem mdogo wake Shufaa, tumekuwa nae ingawa yeye alikuwa kidogo mdogo kwetu. Mkandara anawajuwa sana hawa, ananambia ndio ilikuwa mitaa yake.

Saigon siku hizi ni kweli ipo hapo narung'ombe kwa msaada wa bakhresa ametoa kile chumba kwa wazee wa saigon.Hussein kidogo ilitokea mtafaruku wakajitenga hafiki pale tena japo ni mwenzetu bado,wana maskani yao livingstone na mahiwa hapa mbele kama unaingia mtoro msikitikini...mtu fresh sana hussein,hamsa salawat mashallah!
 
Teeehhh!teeehhhh! CV ya jk ya nn humu?mtafanya wengine mbavu zianze kuuma bure mia najua alikua mwanajeshi enzi za mwalimu Jk(wa ukweli)kuhusu cv ya education mi sigusi huko watu wa usalama wasije anza nitafute bure wakati wako busy na kumtafuta Dr.ulimboka,ndo rais pekee ambaye wananchi wake hawana history yake ya elimu sijui ni ya kuunga unga
 
Hapana, nyumba ya kona, inayopakana na CCM, kwa sasa linajengwa ghorofa.

ok pande ile sio kwa mbele nyumbani kwa kina da nani tena yule bonge white kidogo awe muarabu siku hizi wanapika pika chakula mchana,wali wao mtamu sana,mtaa ule kulikua na wasomali nyumba moja hivi sasa wamehamia upanga!
 
Mwingine anaitwa Dr. Mohamed Tulli alikuwa anafundisha Kuwait. Toto la Kariakoo.

Dr. Bilal Alifundisha huku Marekani UCLA Nuclear Science baada ya kumaliza Masters na Ph.D inaonyesha ana akili haswa sababu aliombwa abaki huko kufundisha wakati wa utawala wa JK Nyerere

Na Pia Mtoto wa kwanza wa Cleopa Msuya Pia ana Degree ya Nuclear Science yeye alienda UK mpaka Masters...

Hii inaonyesha JK Nyerere alijua kuwa TZ tuna madini ya Uranium na alitaka kusomesha wabongo kwanza kabla ya kuchimba hayo Madini
 
Tatizo la mfumo wa Tanzania, hata uwe umesoma kiwango gani au fani muhimu kiasi gani, bila kuingia kwenye siasa, hujioni kama umefanikisha lolote la maana katika maisha yako.
Sioni la kumlaumu Dr. Bilali hapa kwani hata mwanasayansi anahitaji ku-survive. Mfumo tulio nao unadiscourage wataalam na haswa wanasayansi kuendeleza fani zao kwani maslahi yao yanakandamizwa na hutegemea huruma za wanasiasa ili waishi. Ndiyo maana tunashuhudia wengi wakichangamkia siasa na kuacha uzalishaji na utendaji ambao ungeweza kulinasua taifa kiuchumi na kitekinolojia. Katika hali ya kawaida ingeshangaza kuona maprofesa wakiacha kufundisha na kwenda kugombea ubunge ili wakasinzie tu Bungeni lakini wajaze mifuko na wanenepe kama wengine. Baadhi wenye roho ngumu wameamua kwenda kufanyia kazi nje ya nchi ambako fani za sayansi zinaheshimiwa na kulipa. Kwa mtindo huu Tanzania na labda nchi za kiafrika zitabaki duni kiteknolojia milele.

 
sina pingamizi na elimu yake kuwa mwana sayansi wa nuklia , darasani watu husoma 1+1>2 lakini ukishatoka darasani unatakiwa uifanye 1+1 > 3 kama ulisoma kwa kupata cheti hii test ya nje ya darasa wala hutakuwa na umuhimu nao .

hili ndiyo tatizo kubwa la wasomi wa Tanzania wanavyeti lakini kazi hawawezi ,kila sababu wanatowa ,mitaji , uongozi mbaya , bla bla . bla na kibaya zaidi huwawanataka kuwa viongozi wa juu ukiuliza yeye ni profesa , Dr , hebu tujiulize huyu mheshimiwa kama kasoma hiyo fani ambayo sina wasi wasi naye ,jee kaelewa ?? hapa ndiyo mbinde , huyu mheshimiwa anacheti cha kupamba ukuta tuu lakini hana uwezo wakuwa mwanasayansi , ametaka kusoma kuwa ili afike hapo alipo , ninasema hivi kwasababu ninauhakika , TANZANIA tumegunduwa URANIUM wakati mheshima yuko chuo na tukiwa gizani , ameingia madarakani tukiwa gizani atakufa atatuacha gizani na hapo ndiyo yeye atakwenda kuishi gizani huko futi sita chini ,

ANGELIKUWA ANIIJUWA FANI VIZURI BASI TUNGELIKUWA TUMESHAPATA UMEME WA BEI YA CHINI NA KUUZA EAST AFRICA NZIMA , KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI


I can't underestimate your ignorance. Nuclear Scientists don't go out in the field to discover mineral. That's the work of geologists. Nuclear Scientists work in the lab.

Second, in order to generate electricity you need reactors. Even for a labratory experiments you need to have reactors which are closely watched by the Nuclear Atomic Agencies and the Superpowers. To that end it's impossible for a couple of nuclear scientists and enginieers in Tanzania to make meaningful contributions without goverment supported infrastructures and policies.
 
Sioni la kumlaumu Dr. Bilali hapa kwani hata mwanasayansi anahitaji ku-survive. Mfumo tulio nao unadiscourage wataalam na haswa wanasayansi kuendeleza fani zao kwani maslahi yao yanakandamizwa na hutegemea huruma za wanasiasa ili waishi. Ndiyo maana tunashuhudia wengi wakichangamkia siasa na kuacha uzalishaji na utendaji ambao ungeweza kulinasua taifa kiuchumi na kitekinolojia. Katika hali ya kawaida ingeshangaza kuona maprofesa wakiacha kufundisha na kwenda kugombea ubunge ili wakasinzie tu Bungeni lakini wajaze mifuko na wanenepe kama wengine. Baadhi wenye roho ngumu wameamua kwenda kufanyia kazi nje ya nchi ambako fani za sayansi zinaheshimiwa na kulipa. Kwa mtindo huu Tanzania na labda nchi za kiafrika zitabaki duni kiteknolojia milele.


You are making valid points. Even in the US, government policies drive technology development. When the British crown left American colonies, its government made sure that nobody transfer technology from Europe to the USA, and without politicians who advocated a strong Federal government, the US would probably remained a backward nation.
 
Back
Top Bottom