Tatizo la mfumo wa Tanzania, hata uwe umesoma kiwango gani au fani muhimu kiasi gani, bila kuingia kwenye siasa, hujioni kama umefanikisha lolote la maana katika maisha yako.
Nchi hii toka mashirika ya umma yafirisike na kuuzwa,kazi iliyobaki inayolipa ni siasa tu na ndio maana wabunge wanaongezewa posho kiulaini wakati waganga mabingwa hawalipwi haki zao!! That is Tanzania for you with your President being ridiculed by newspapers in europe as a beggar attending the DAVOS conference!!